Y2K ilikuwa na vituko sana

Y2K ilikuwa na vituko sana

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,532
Wakati watu wanasubiri mwaka 2000 kila mtu alikuwa na hofu sana kwa jinsi mijadala mingi ambayo mpaka wakina kibwetero wakatokea hapo.

Mimi na kumbuka wakati tuna subiria 2000 mzee aliwaita ndugu zake wote na kuchinjwa kuku wa kutosha tukisubiri labda yesu anakuja ndio mwisho wa dunia.
Mwisho wa siku asubuhi tulijutia kuku tuliowachinja mwaka jana.
 
Mzee wako alikuwa mjinga kwann asingeomba K kwa mara ya mwisho? 😡
 
Back
Top Bottom