Redmi Note 12 ni chaguo zuri kama utaipata kwa 420,000/=Kiongozi nimekusoma, hapa acha ninyooshe goti niende tigo shop nikavute hiyo note 12 Kwa tsh. 510k na unapata 6.5gb data monthly in a year.
So unasema hiyo Samsung ya 450K ni kali kwa sababu ina 128GB storage?
Kwanza ni Samsung gani hiyo, utaje kwanza
Tsh ngapi hiyo ?Chukua hiyo Redmi Note 12 hutajutia.
Mimi nlihama Samsung nikachukua Redmi note 11 hapa naenjoy tu.
Acha kukariri wewe. Kuwa mpole ufundishwe bila ada.Sasa umeandika nn mjuaji? Na umemsaidiaje mjumbe ndg mjuaji? Hivi ww ukanunue gari ya Masoud kipanya na mwenzio Toyota. Mlingane? Utakuwa chizi.
Amefundisha nn hapo? Amechangia nn hoja yake?Acha kukariri wewe. Kuwa mpole ufundishwe bila ada.
Nilinunua 560k duka la tigoTsh ngapi hiyo ?
upande wa camera nani yuko vzuriMkuu chukua redmi hapo.
Redmi note 12 vs galaxy note 9
1. Batery 5000 vs 4000
2.operatin syst 12 vs 8
3.line 2 vs line 1
4. Toleo la mwak jana vs miak 5 nyuma
View attachment 2684545
View attachment 2684546
Sasa katika maelezo yote huko juu umeshindwa kujua hoja ni ipi, sembuse kuitetea?Amefundisha nn hapo? Amechangia nn hoja yake?
Kiongozi Kwa Bei ya 420k naipata wapi au maduka yapi kiongozi?Redmi Note 12 ni chaguo zuri kama utaipata kwa 420,000/=
Bei ikishafika laki 5 tafuta kitu kingine. Maybe kama unazitaka sana hizo 6.5GB kwa mwezi
Ahsante kiongoziMkuu chukua redmi hapo.
Redmi note 12 vs galaxy note 9
1. Batery 5000 vs 4000
2.operatin syst 12 vs 8
3.line 2 vs line 1
4. Toleo la mwak jana vs miak 5 nyuma
View attachment 2684545
View attachment 2684546
Vipi haikulimit katika matumizi ya line na ulichukulia maeneo ya wapi ?Nilinunua 560k duka la tigo
-Inatumia line 2Vipi haikulimit katika matumizi ya line na ulichukulia maeneo ya wapi ?
Laki 4 na 20 ni Dar hapohapo, Zunguka Kariakoo kwenye maduka ya simu. Nimeona Jiji Tz sehemu nyingi ni around 450KKiongozi Kwa Bei ya 420k naipata wapi au maduka yapi kiongozi?
Na hicho kingine Kwa 500k ni kipi?
Nisaidie nipate mwanga kidogo kwenye chaguzi ya simu nzuri.
Ahsante kiongoziLaki 4 na 20 ni Dar hapohapo, Zunguka Kariakoo kwenye maduka ya simu. Nimeona Jiji Tz sehemu nyingi ni around 450K
Pia kwa laki 5 ninaona Redmi Note 10 Pro ni chaguo zuri ingawa bado ina MIUI 12 na Android 12 ila IPO vizuri kuliko Redmi Note 12 kwenye sehemu nyingi. Hii Note 10 Pro ni complete package. Ila nunua Global version au Chinese version. Usinunue Indian version
Sikuwa na idea kabisa kama naweza opt Redmi note 10pro.Laki 4 na 20 ni Dar hapohapo, Zunguka Kariakoo kwenye maduka ya simu. Nimeona Jiji Tz sehemu nyingi ni around 450K
Pia kwa laki 5 ninaona Redmi Note 10 Pro ni chaguo zuri ingawa bado ina MIUI 12 na Android 12 ila IPO vizuri kuliko Redmi Note 12 kwenye sehemu nyingi. Hii Note 10 Pro ni complete package. Ila nunua Global version au Chinese version. Usinunue Indian version
SawaSikuwa na idea kabisa kama naweza opt Redmi note 10pro.
Acha nizame mtandaoni kuangalia review yake
Mwambie ukweli tu , in detailKama unapata mpya kwa bei sawa chukua Samsung Galaxy Note 9
Ila kuwa makini, hizi Note 9 zilikuwa na matatizo mengi mfano kioo chake kupata green tint issue. Nimeona Note 9 kama tatu hivi zilizokumbwa na hili tatizo na mitandaoni nimeona case nyingi sana, sijui hata ngapi
Kama unataka current software nunua Redmi Note 12 na of course utapata features nyingi kwenye Redmi Note 12 kuliko Galaxy Note 9
Kama unaweza kudownload custom ROM basi download kwenye hiyo Galaxy Note 9 ili uweze kupata walau current software "Android 13" ingawa ni risky
Binafsi ningechukua Redmi Note 12 kwa sababu Galaxy Note 9 imepitwa na muda na bado ipo Android 8 huko. Najua itakuwa refurbished tu. Matatizo kibao