whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,928
- 9,437
Ni ya moto kweliSawa
Ni ya moto kweliSawa
hapoa nimekupata mkuu..naoana xiaomi mid range nyingi zinazo kuanzia 2.1Ufs mkuu ni memory controller kama unavyosema Sata, Nvme, etc. Mfano wake fikiria kama Mabomba ya kupitishia maji, jinsi mabomba yanavyokuwa makubwa ndio jinsi maji yanavyopita mengi.
Ufs zipo version nyingi kama 2.1, 2.2, 3.1, 4.0 etc hizi version za UFS na speed zake.
View attachment 2592251
Hapo kwenye Table unaona Emmc zipo slow zaidi hizo ndo unazikuta kwenye Tecno na vimeo vyengine vya Samsung bei rahisi.
Kuna mambo muhimu ya kujua kwenye UFS
1. Ufs ni kama bomba, sababu una bomba kubwa haimaanishi utapata maji mengi, kuna simu zina UFS za kisasa ila Nand zilizotumika kutengenezea storage ni low quality hivyo usipate hio speed kubwa,
2. Hizi UFS zinaweza kuwa configured kwa lane zaidi ya moja ili kukupa Bandwidth zaidi, mfano hapo ukiangalia ufs 2.0 128gb ni 350MBps ila Ufs 2.0 ya 256GB ni 850MBps, kinachofanyika hapo ni storage inagawanywa vipande unakuta 64GB mara 2 kupata 128GB ama 64GB mara 4 kupata 256GB hivyo kila kipande kikiwa kinapokea data inaongeza speed.
Hivyo kuliko kukariri UFS version vyema uangalie reviews za simu husika kujua actual speed ya storage.
mbona Huawei,honor,oneplus, vivo wametumia camera yenye muonekano kama huo na bado ni flagship na ni zinapiga photo balaa...Hilo likamera hapo nyuma hata halivutii, simu ina muonekano cheap.
Hata lowend kama redmi 10C ni katika simu za bei rahisi zenye UFS.hapoa nimekupata mkuu..naoana xiaomi mid range nyingi zinazo kuanzia 2.1
yes nimewahi tumia hiyo 10c kusema kweli naikumbuka hii pixel 3 ya sasa haikai chargeHata lowend kama redmi 10C ni katika simu za bei rahisi zenye UFS.
🥲
. Ila kwa upande wangu mpangilio wa camera umeniangusha!!Hii simu hapo juu Inauzwa shs ngapi!?Kuhusu hii simu sijapenda muundo wa kamera hapo nyuma.
Nina swali pia. Sijajua tofauti sana kati ya xiaomi na redme.
Natumia redme 11. Ni nzuri ila kwangu ina changamoto mbili; haina kitaa cha notification kwa mbele. Pili kamera yake kwa upande wa kuchukulia video haiko smooth kabisa.
Naisifu kwa kukaa na chaji. Pia kioo chske ni imara sana
Hicho kitovu ni cha niniView attachment 2591171
Xiaomi 13 Ultra inatarajiwa kutoka kesho, hizo specifications ni 100% correct. Hizi ndio specifications sahihi za Xiaomi 13 Ultra
According to real specifications, nimeona weaknesses ifuatayo
1. Xiaomi 13 Ultra haina uwezo wa kurekodi 4K videos kwenye kamera ya mbele
Ukitoa hiyo weakness kila kitu kipo poa Sana
Hizi hapa ndio real specifications za Xiaomi 13 Ultra, sio rumoured tena.
Source: gsmarena.com
View attachment 2591190
1. NETWORK
Technology: GSM / CDMA / HSPA / EVDO / LTE / 5G
2G bands : GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
CDMA 800
3G bands : HSDPA 800 / 850 / 900 / 1700(AWS) / 1900 / 2100
CDMA2000 1xEV-DO
4G bands: 1, 3, 4, 5, 7, 8, 12, 17, 18, 19, 26, 34, 38, 39, 40, 41, 42
5G bands: 1, 3, 5, 8, 28, 38, 40, 41, 77, 78, 79 SA/NSA
Speed: HSPA, LTE-A, 5G
2. LAUNCH
Announced: 2023, April 18
Status: Coming soon. Exp. release 2023, April 21
3. BODY
Dimensions: 163.2 x 74.6 x 9.1 mm (6.43 x 2.94 x 0.36 in)
Weight: 227 g (8.01 oz)
Build: Glass front (Gorilla Glass Victus), eco leather back, aluminum frame
SIM: Dual SIM (Nano-SIM, dual stand-by)
IP68 dust/water resistant (up to 1.5m for 30min)
4. DISPLAY
Type: LTPO3 AMOLED, 1B colors, 120Hz, Dolby Vision, HDR10+, 1300 nits (HBM), 2600 nits (peak)
Size: 6.73 inches, 108.9 cm2 (~89.5% screen-to-body ratio)
Resolution: 1440 x 3200 pixels, 20:9 ratio (~522 ppi density)
Protection : Corning Gorilla Glass Victus
View attachment 2591183
5. PLATFORM
OS: Android 13, MIUI 14
Chipset : Qualcomm SM8550-AB Snapdragon 8 Gen 2 (4 nm)
CPU : Octa-core (1x3.2 GHz Cortex-X3 & 2x2.8 GHz Cortex-A715 & 2x2.8 GHz Cortex-A710 & 3x2.0 GHz Cortex-A510)
GPU: Adreno 740
6. MEMORY
Card slot: No
Internal: 256GB 12GB RAM, 512GB 16GB RAM, 1TB 16GB RAM
UFS 4.0
7. MAIN CAMERA
Quad: 50.3 MP, f/1.9 or f/4.0, 23mm (wide), 1.0"-type, 1.6µm, multi-directional PDAF, Laser AF, OIS
50 MP, f/3.0, 120mm (periscope telephoto), 1/2.51", PDAF, OIS, 5x optical zoom
50 MP, f/1.8, 75mm (telephoto), 1/2.51", PDAF, OIS, optical zoom
50 MP, f/1.8, 12mm, 122˚ (ultrawide), 1/2.51", PDAF
TOF 3D, (depth)
Features: Leica lenses, Dual-LED flash, HDR, panorama
Video: 8K@24fps, 4K@24/30/60fps, 1080p@30/60/120/240/480/960/1920fps, gyro-EIS, Dolby Vision HDR 10-bit rec. (4K@60fps, 1080p)
8. SELFIE CAMERA
Single : 32 MP, f/2.0, 22mm (wide), 0.7µm
Features: HDR, panorama
Video: 1080p@30fps
9. SOUND
Loudspeaker : Yes, with stereo speakers
3.5mm jack: No
24-bit/192kHz audio
10. COMMS
WLAN: Wi-Fi 802.11 a/b/g/n/ac/6e, dual-band, Wi-Fi Direct
Bluetooth: 5.3, A2DP, LE, aptX HD, aptX Adaptive
Positioning: GPS (L1+L5), GLONASS (L1), BDS (B1I+B1c+B2a), GALILEO (E1+E5a), QZSS (L1+L5), NavIC (L5)
NFC: Yes
Infrared port: Yes
Radio: No
USB: USB Type-C 3.2, DisplayPort, OTG
11. FEATURES
Sensors: Fingerprint (under display, optical), accelerometer, gyro, compass, color spectrum, barometer
Messaging: SMS(threaded view), MMS, Email, Push Email, IM
Browser: HTML5
Virtual proximity sensing
12. BATTERY
Type: Li-Po 5000 mAh, non-removable
Charging: 90W wired, PD3.0, QC4, 100% in 35 min (advertised)
50W wireless, 100% in 49 min (advertised)
10W reverse wireless
View attachment 2591193
13. MISC
Colors: Black, Olive Green, White
Price : About 800 EUR
Xiaomi 13 Ultra itakuwa na Global version yake pia. Tofauti na ilivyokuwa Xiaomi 12S Ultra ambayo ilikuwa released only in China.
Kioo cha Xiaomi 13 Ultra kina maximum peak brightness ya 2600nits, karibia 1000nits zaidi ya Galaxy S23 Ultra ambayo ina maximum peak brightness ya 1750nits
Nasubiria review kutoka gsmarena.com
NB: Thread yote imekuwa edited kila sehemu ambayo ilikuwa na taarifa zisizo sahihi. Sasahivi taarifa ni sahihi na za uhakika![]()
redmi ndio xiaomi wenyewe isipokuwa hiyo ni aina ya simu zao mfano xiaomi mi hizi ndio simu zao za flagship,poco,k,T,ndio zinafwata hizi mid-range za note yaani redmi note 10,11,12,alfu inafwata C na A mfano redmi 10C,redmi 9AKuhusu hii simu sijapenda muundo wa kamera hapo nyuma.
Nina swali pia. Sijajua tofauti sana kati ya xiaomi na redme.
Natumia redme 11. Ni nzuri ila kwangu ina changamoto mbili; haina kitaa cha notification kwa mbele. Pili kamera yake kwa upande wa kuchukulia video haiko smooth kabisa.
Naisifu kwa kukaa na chaji. Pia kioo chske ni imara sana
Kamera wameharibu. Kamera imewekewa frame mbaya ya mduara na kubwa sana. Wangepiga frame ya square halafu iwe bolded kidogo halafu inakaa ubavuni kwa juu pale.Hilo likamera hapo nyuma hata halivutii, simu ina muonekano cheap.
Xiaomi ni jina la kampuni inayotengeneza simu zenye brandname nne tofautiKuhusu hii simu sijapenda muundo wa kamera hapo nyuma.
Nina swali pia. Sijajua tofauti sana kati ya xiaomi na redme.
Natumia redme 11. Ni nzuri ila kwangu ina changamoto mbili; haina kitaa cha notification kwa mbele. Pili kamera yake kwa upande wa kuchukulia video haiko smooth kabisa.
Naisifu kwa kukaa na chaji. Pia kioo chske ni imara sana


Loh! Thanks kwa somo makiniXiaomi ni jina la kampuni inayotengeneza simu zenye brandname nne tofauti
1. Xiaomi
Xiaomi ni moja ya brand nne zinazotengeneza simu kutoka kampuni ya Xiaomi. Miaka ya nyuma brand hii ilikuwa inaitwa "Mi" ila kwa sasa inaitwa Xiaomi.
Brand ya Xiaomi inatengeneza flagship na flagship killers. Kwa mfano hii Xiaomi 13 Ultra moja ya simu kutoka brand hii. Pia inatengeneza Xiaomi MIX series. Licha ya kuwa brand ya Xiaomi inatengeneza flagship lakini pia inatengeneza midrange mfano Xiaomi Civi lakini hawatengenezi low end.
Hii ndio brand inayobeba jina la kampuni
Simu kutoka brand hii ya Xiaomi zinatumia software ya MIUI
Huu ni mwonekano wa MIUI kwenye Xiaomi 12S UltraView attachment 2605352
2. Redmi
Redmi ime-base kwenye kutengeneza low end na midrange phones. Kwa mfano Redmi series ni low end za kampuni hiyo na huwa imegawanyika katika vanilla Redmi series, A-series na C-series. Mfano wa wa vanilla Redmi series ni Redmi 8, Redmi 9 na Redmi 10. A-series ni kama Redmi 8A, Redmi 9A na Redmi 10A, C-series ni kama Redmi 9C, Redmi 10C na Redmi 12C.
Hata hivyo Redmi ina simu za Note series ambazo ni midrange zilizobase kwenye kamera, display na SoC kwa bei rahisi mfano Redmi Note 11, Redmi Note 12, Redmi Note 10 Pro, etc.
Licha ya kuwa Redmi ime-base kwenye low end na midrange lakini pia Redmi hutengeneza flagship mfano Xiaomi Redmi K60 Pro ni flagship ya Redmi
Redmi ni brand ya Xiaomi inayoongoza Kwa mauzo kuliko brand zote nne
Simu kutoka brand hii ya Redmi zinatumia software ya MIUI kama.
Huu ni mwonekano wa MIUI kwenye Xiaomi Redmi Note 10 ProView attachment 2605351
3. Poco
Poco haina tofauti kubwa na Redmi Kwa sababu ime-base sana kwenye low-end na midrange lakini simu za Poco ni popular sana nchini India
Poco hutengeneza low end kama Xiaomi Poco C40, pia hutengeneza midrange kama Xiaomi Poco X5 Pro na hutengeneza flagship kama Xiaomi Poco F4 GT
Simu kutoka brand hii ya Poco zinatumia software ya "MIUI for Poco". Tofauti ya MIUI for Poco na MIUI ya kawaida ni kwamba hii ya Poco, icons za apps zake zipo katika shape ya duara wakati kwenye MIUI ya kawaida icons zina shape ya square yenye rounded corners.
Ukiondoa hiyo tofauti kila kitu kinafanana na functionality yake ni same.
Huu ni mwonekano wa "MIUI for Poco" kwenye Xiaomi Poco M5View attachment 2605349
4. Black Shark
Hii ni brand inayotengeneza simu ambazo ni special for gaming
Kwa hiyo simu hizi zina chipset zenye nguvu kwa ajili ya gaming
Simu za Black Shark zinatumia software ya JoyUI ambayo imekuwa extracted from MIUI na kuwa modified ili iendane na gaming, Kwa hiyo ina gaming themes nyingi, gaming wallpapers na features nyingi za gaming.
Huu ni mwonekano wa JoyUI kwenye Xiaomi Black Shark 5 ProView attachment 2605347
Sema disigner wa hii pc kaidisgne inaoneka ya kike. Hizi kwa % nyingi utawaona nazo wadada na wamama.View attachment 2591171
Xiaomi 13 Ultra inatarajiwa kutoka kesho, hizo specifications ni 100% correct. Hizi ndio specifications sahihi za Xiaomi 13 Ultra
According to real specifications, nimeona weaknesses ifuatayo
1. Xiaomi 13 Ultra haina uwezo wa kurekodi 4K videos kwenye kamera ya mbele
Ukitoa hiyo weakness kila kitu kipo poa Sana
Hizi hapa ndio real specifications za Xiaomi 13 Ultra, sio rumoured tena.
Source: gsmarena.com
View attachment 2591190
1. NETWORK
Technology: GSM / CDMA / HSPA / EVDO / LTE / 5G
2G bands : GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
CDMA 800
3G bands : HSDPA 800 / 850 / 900 / 1700(AWS) / 1900 / 2100
CDMA2000 1xEV-DO
4G bands: 1, 3, 4, 5, 7, 8, 12, 17, 18, 19, 26, 34, 38, 39, 40, 41, 42
5G bands: 1, 3, 5, 8, 28, 38, 40, 41, 77, 78, 79 SA/NSA
Speed: HSPA, LTE-A, 5G
2. LAUNCH
Announced: 2023, April 18
Status: Coming soon. Exp. release 2023, April 21
3. BODY
Dimensions: 163.2 x 74.6 x 9.1 mm (6.43 x 2.94 x 0.36 in)
Weight: 227 g (8.01 oz)
Build: Glass front (Gorilla Glass Victus), eco leather back, aluminum frame
SIM: Dual SIM (Nano-SIM, dual stand-by)
IP68 dust/water resistant (up to 1.5m for 30min)
4. DISPLAY
Type: LTPO3 AMOLED, 1B colors, 120Hz, Dolby Vision, HDR10+, 1300 nits (HBM), 2600 nits (peak)
Size: 6.73 inches, 108.9 cm2 (~89.5% screen-to-body ratio)
Resolution: 1440 x 3200 pixels, 20:9 ratio (~522 ppi density)
Protection : Corning Gorilla Glass Victus
View attachment 2591183
5. PLATFORM
OS: Android 13, MIUI 14
Chipset : Qualcomm SM8550-AB Snapdragon 8 Gen 2 (4 nm)
CPU : Octa-core (1x3.2 GHz Cortex-X3 & 2x2.8 GHz Cortex-A715 & 2x2.8 GHz Cortex-A710 & 3x2.0 GHz Cortex-A510)
GPU: Adreno 740
6. MEMORY
Card slot: No
Internal: 256GB 12GB RAM, 512GB 16GB RAM, 1TB 16GB RAM
UFS 4.0
7. MAIN CAMERA
Quad: 50.3 MP, f/1.9 or f/4.0, 23mm (wide), 1.0"-type, 1.6µm, multi-directional PDAF, Laser AF, OIS
50 MP, f/3.0, 120mm (periscope telephoto), 1/2.51", PDAF, OIS, 5x optical zoom
50 MP, f/1.8, 75mm (telephoto), 1/2.51", PDAF, OIS, optical zoom
50 MP, f/1.8, 12mm, 122˚ (ultrawide), 1/2.51", PDAF
TOF 3D, (depth)
Features: Leica lenses, Dual-LED flash, HDR, panorama
Video: 8K@24fps, 4K@24/30/60fps, 1080p@30/60/120/240/480/960/1920fps, gyro-EIS, Dolby Vision HDR 10-bit rec. (4K@60fps, 1080p)
8. SELFIE CAMERA
Single : 32 MP, f/2.0, 22mm (wide), 0.7µm
Features: HDR, panorama
Video: 1080p@30fps
9. SOUND
Loudspeaker : Yes, with stereo speakers
3.5mm jack: No
24-bit/192kHz audio
10. COMMS
WLAN: Wi-Fi 802.11 a/b/g/n/ac/6e, dual-band, Wi-Fi Direct
Bluetooth: 5.3, A2DP, LE, aptX HD, aptX Adaptive
Positioning: GPS (L1+L5), GLONASS (L1), BDS (B1I+B1c+B2a), GALILEO (E1+E5a), QZSS (L1+L5), NavIC (L5)
NFC: Yes
Infrared port: Yes
Radio: No
USB: USB Type-C 3.2, DisplayPort, OTG
11. FEATURES
Sensors: Fingerprint (under display, optical), accelerometer, gyro, compass, color spectrum, barometer
Messaging: SMS(threaded view), MMS, Email, Push Email, IM
Browser: HTML5
Virtual proximity sensing
12. BATTERY
Type: Li-Po 5000 mAh, non-removable
Charging: 90W wired, PD3.0, QC4, 100% in 35 min (advertised)
50W wireless, 100% in 49 min (advertised)
10W reverse wireless
View attachment 2591193
13. MISC
Colors: Black, Olive Green, White
Price : About 800 EUR
Xiaomi 13 Ultra itakuwa na Global version yake pia. Tofauti na ilivyokuwa Xiaomi 12S Ultra ambayo ilikuwa released only in China.
Kioo cha Xiaomi 13 Ultra kina maximum peak brightness ya 2600nits, karibia 1000nits zaidi ya Galaxy S23 Ultra ambayo ina maximum peak brightness ya 1750nits
Nasubiria review kutoka gsmarena.com
NB: Thread yote imekuwa edited kila sehemu ambayo ilikuwa na taarifa zisizo sahihi. Sasahivi taarifa ni sahihi na za uhakika![]()