katika hali ya kawaida mnapo kuwa wapenzi mambo mbalimbali hufanyika mnapo kuwa wapenzi na kupelekea kupeana zawadi mbalimbali.
nilikuwa na mpenzi wangu ambaye ilikuwa yaelekea tuwe wachumba siku zote alijifahamisha kuwa yeye anafanya kazi ya afisa mikopo midogo midogo katika taasisi moja kubwa ya fedha hapa nchini na kupelekea kuwa ananipatia fedha hizo mara kadhaa na wakati mwingine mwingine namrudishia
katika hali isiyo ya kawaida kwangu na kwake mara ya mwisho kiasi cha tzs laki 4 sikuweza kukirudisha kwa sababu zilizo mbali na uwezo wangu kilichofuata hakika sikutegema na ukijumlisha kuwa penzi limekufa
- amepiga simu na kutuma msg kwa kila mtu niliyemtambulisha hasa ndg zangu na rafiki zangu wote wa karibu kuwa nananidai fedha na zawadi kede kede za wakati wa penzi letu moto moto
- aendelea mbele kusema kauli tata za uchonganishi {kuwa nilimwambia kuwa kaka yake amelala na yeye na pia nilimwambia mama yangu anamtoto nje}
- aliweza kuwa na access ya akaunti yangu ya benki na ivo kutangaza details za akaunti hiyo
- anatambwe nyingi haswa nakupeleka mahakamani navidhibitisho vyote ivo atashinda!!!!
baada ya hayo
- nilikwenda taasisi hiyo ya fedha na kukuta kuwa binti huyu sio mwajiriwa ila ni dada yake ndio mwajiriwa ivo taasisi hiyo inaendelea kufanya uchunguzi je ni nani anayempatia nyaraka za siri na kutoa nje ya utaratibu!!!
- bado message za tabwe kunitishia kunishitaki zinazidi sana kutumwa na kuniita mfa maji haachi kutapatapa na jambo usilo lijua ni sawa na usiku wa giza
KWA MUSTAKABALI HUO NAJUA HUMU KUNA WATU WA AINA MBALIMBALI NIPATIE USHAURI UNAOFAA
NB; KAMA HUNA LA KUCHANGIA JUST LEAVE IT!!!
nilikuwa na mpenzi wangu ambaye ilikuwa yaelekea tuwe wachumba siku zote alijifahamisha kuwa yeye anafanya kazi ya afisa mikopo midogo midogo katika taasisi moja kubwa ya fedha hapa nchini na kupelekea kuwa ananipatia fedha hizo mara kadhaa na wakati mwingine mwingine namrudishia
katika hali isiyo ya kawaida kwangu na kwake mara ya mwisho kiasi cha tzs laki 4 sikuweza kukirudisha kwa sababu zilizo mbali na uwezo wangu kilichofuata hakika sikutegema na ukijumlisha kuwa penzi limekufa
- amepiga simu na kutuma msg kwa kila mtu niliyemtambulisha hasa ndg zangu na rafiki zangu wote wa karibu kuwa nananidai fedha na zawadi kede kede za wakati wa penzi letu moto moto
- aendelea mbele kusema kauli tata za uchonganishi {kuwa nilimwambia kuwa kaka yake amelala na yeye na pia nilimwambia mama yangu anamtoto nje}
- aliweza kuwa na access ya akaunti yangu ya benki na ivo kutangaza details za akaunti hiyo
- anatambwe nyingi haswa nakupeleka mahakamani navidhibitisho vyote ivo atashinda!!!!
baada ya hayo
- nilikwenda taasisi hiyo ya fedha na kukuta kuwa binti huyu sio mwajiriwa ila ni dada yake ndio mwajiriwa ivo taasisi hiyo inaendelea kufanya uchunguzi je ni nani anayempatia nyaraka za siri na kutoa nje ya utaratibu!!!
- bado message za tabwe kunitishia kunishitaki zinazidi sana kutumwa na kuniita mfa maji haachi kutapatapa na jambo usilo lijua ni sawa na usiku wa giza
KWA MUSTAKABALI HUO NAJUA HUMU KUNA WATU WA AINA MBALIMBALI NIPATIE USHAURI UNAOFAA
NB; KAMA HUNA LA KUCHANGIA JUST LEAVE IT!!!