X wangu anataka turudiane

X wangu anataka turudiane

Tuliachana mda mrefu nilimwacha mimi baada ya kugundua ana mtu wak man alivyofik kwangu hakunambia ka ana mtu nilimpenda kupitiliza lakini nilivyogundua nikamwacha sasa huo mda tuloachana mimi nishazalishwa mtoto na nishaachana na baba ake x wangu nilompenda anataka turudiane still ananipenda na hajui kama nina mtoto nifanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe akuongezee mtoto mwingine uendelee kulea.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliachana mda mrefu nilimwacha mimi baada ya kugundua ana mtu wak man alivyofik kwangu hakunambia ka ana mtu nilimpenda kupitiliza lakini nilivyogundua nikamwacha sasa huo mda tuloachana mimi nishazalishwa mtoto na nishaachana na baba ake x wangu nilompenda anataka turudiane still ananipenda na hajui kama nina mtoto nifanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada yangu, mimi kwa ushauri wangu, mweleze kuwa una mtoto uone anasemaje baada ya hapo kama akiridhia kuwa nawewe kujali
Tuliachana mda mrefu nilimwacha mimi baada ya kugundua ana mtu wak man alivyofik kwangu hakunambia ka ana mtu nilimpenda kupitiliza lakini nilivyogundua nikamwacha sasa huo mda tuloachana mimi nishazalishwa mtoto na nishaachana na baba ake x wangu nilompenda anataka turudiane still ananipenda na hajui kama nina mtoto nifanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliachana mda mrefu nilimwacha mimi baada ya kugundua ana mtu wak man alivyofik kwangu hakunambia ka ana mtu nilimpenda kupitiliza lakini nilivyogundua nikamwacha sasa huo mda tuloachana mimi nishazalishwa mtoto na nishaachana na baba ake x wangu nilompenda anataka turudiane still ananipenda na hajui kama nina mtoto nifanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada mimi kwa ushauri wangu mweleze kuwa una mtoto uone anasemaje, akikubali kuwa na wewe huku una mtoto, mpe sharti la kufunga ndoa kanisani akikubali funga ndoa kanisani ndipo mzalie mtoto wake, usimzalie mtoto kabla ya kufunga ndoa kanisani, itakua ni dhambi
 
Tuliachana mda mrefu nilimwacha mimi baada ya kugundua ana mtu wak man alivyofik kwangu hakunambia ka ana mtu nilimpenda kupitiliza lakini nilivyogundua nikamwacha sasa huo mda tuloachana mimi nishazalishwa mtoto na nishaachana na baba ake x wangu nilompenda anataka turudiane still ananipenda na hajui kama nina mtoto nifanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada mimi kwa ushauri wangu mweleze kuwa una mtoto uone anasemaje, akikubali kuwa na wewe huku una mtoto, mpe sharti la kufunga ndoa kanisani akikubali funga ndoa kanisani ndipo mzalie mtoto wake, usimzalie mtoto kabla ya kufunga ndoa kanisani, itakua ni dhambi
 
Tuliachana mda mrefu nilimwacha mimi baada ya kugundua ana mtu wak man alivyofik kwangu hakunambia ka ana mtu nilimpenda kupitiliza lakini nilivyogundua nikamwacha sasa huo mda tuloachana mimi nishazalishwa mtoto na nishaachana na baba ake x wangu nilompenda anataka turudiane still ananipenda na hajui kama nina mtoto nifanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu zilizowafanya muachane ni zipi? Katika hizo sababu, ku ailoyobadilika..?? Kupitia hizo sababu ndo unaweza pata jibu kama umrudie au la..
Na vile vile, kama sababu zinaruhusu kurudiana, mueleze kuhusu mtoto na uone anasemaje..
 
Back
Top Bottom