Tuliachana mda mrefu nilimwacha mimi baada ya kugundua ana mtu wak man alivyofik kwangu hakunambia ka ana mtu nilimpenda kupitiliza lakini nilivyogundua nikamwacha sasa huo mda tuloachana mimi nishazalishwa mtoto na nishaachana na baba ake x wangu nilompenda anataka turudiane still ananipenda na hajui kama nina mtoto nifanyeje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app