silaha
Member
- Jun 8, 2012
- 60
- 34
Wanajamvi naombeni ushauri wenu,uyu dada niliwah kumchumbia,nikamsomesha toka form four mpaka mwaka jana kamaliza degree yake ya education pale SAUT,akantosa miezi sita kabla hajamaliza chuo kwa kunipa live kuwa alikuwa hanipendi miaka yote ile bali alikuwa anataka kusoma tu amalize,sasa juzi kanipigia sim kwa no mpya nisiyoijua,akaniomba nikutane nae na tena anataka kuja nyumbani kwangu baada ya kujua bado sijaoa,na alivyonimwaga alinikashifu vibaya na sina hata ham ya kumuona walau kwa bahati mbaya,na ye ndo anang'ang'ania kuja kwangu,nifanyeje?