X-wangu ananitumia picha zake

X-wangu ananitumia picha zake

Habari za wakati huu wana jamvi.. kuna mwanamke nilisha wahi kudate nae na tukaachana miaka 7 ilopita kisa hakieleweki hadi sasa.. ila chakushangaza anatabia ya kunitumia picha zake naombeni kujua huyu dem anajilengesha au hajielewi..

Wataalamu wamambo na wasubiria hapa
mzuie mwambie haupendi uQMA
 
Habari za wakati huu wana jamvi.. kuna mwanamke nilisha wahi kudate nae na tukaachana miaka 7 ilopita kisa hakieleweki hadi sasa.. ila chakushangaza anatabia ya kunitumia picha zake naombeni kujua huyu dem anajilengesha au hajielewi..

Wataalamu wamambo na wasubiria hapa
Kwa hiyo
 
Kumbe tunafanana akili. Tungependa kuona picha zake kwanza ili tukushauri vizuri.
 
Muulize...yeye atakupa jibu la maswali yako
 
Back
Top Bottom