Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
Habari wana JF!!
Nilitokea kumfahamu X boy friend wa mke wangu baada ya kupita miaka mitatu ya ndoa yetu kwani alirudi kwake akiwa na nia warudiane but akakuta ameolewa na mimi so ikashindikana kwake!!
Wife yeye akawa hataki hata kumuona au kuwa na mawasiliano naye kutokana na alivyodai kuwa historia mbaya ya mapenzi yao.
Hivi majuzi nimekuta mke wangu kamsevu huyo X wake kwa jina la kike kwenye phone book yake na amekiri kweli kamsevu (X) hivyo, ila ni baada ya mimi kushuku kuwa kuna mawasiliano yasiyo ya kwaida, na kabla ya hapo alijifanya hana mawasiliano naye kabisaaa, kwa namna yoyote ileee!! Isitoshe ni namba ambayo baadae nilianza kuifatilia nikakuta ipo busy sana kwenye simu yake.
Swali lisilo na jibu ni; Kwanini amsave kivingine? Kwanini ajifanye hana mawasiliano naye kabisaaaa kwa namna yoyote ile kumbe wanawasiliana?
Nilitokea kumfahamu X boy friend wa mke wangu baada ya kupita miaka mitatu ya ndoa yetu kwani alirudi kwake akiwa na nia warudiane but akakuta ameolewa na mimi so ikashindikana kwake!!
Wife yeye akawa hataki hata kumuona au kuwa na mawasiliano naye kutokana na alivyodai kuwa historia mbaya ya mapenzi yao.
Hivi majuzi nimekuta mke wangu kamsevu huyo X wake kwa jina la kike kwenye phone book yake na amekiri kweli kamsevu (X) hivyo, ila ni baada ya mimi kushuku kuwa kuna mawasiliano yasiyo ya kwaida, na kabla ya hapo alijifanya hana mawasiliano naye kabisaaa, kwa namna yoyote ileee!! Isitoshe ni namba ambayo baadae nilianza kuifatilia nikakuta ipo busy sana kwenye simu yake.
Swali lisilo na jibu ni; Kwanini amsave kivingine? Kwanini ajifanye hana mawasiliano naye kabisaaaa kwa namna yoyote ile kumbe wanawasiliana?