antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,689
- 130,567
Hivi unawajua vizuri madada (aka mashangazi) wa mjini wewe?Yupo kwenye 35,hajabadilika kweli!?.. maana juzi nimeona maimartha Jesse kumbe kaolewa,kama mai kaolewa kweli huyu hawezi change!?.. nasikia wanakuwaga wamenyooka,full heshima na mahaba
Ex wake siyo wewe pekee broo. Siyo ajabu mpo 70+ na kila mmoja anapasha kiporo kwa wakati wake. Utapigiwa hadi kero!
Kwamba Mai kampata jamaa fulani itakuwa ni kweli, ila muda si mrefu huyo mwamba atajikuta kikaangoni
