uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 6,029
- 11,340
Team ya wydad Casablanca imetinga hatua ya final ya AFL baada ya kuiondoa Esperance ya Tunisia
Sasa Wydad itamngoja mshindi baina ya Al Ahly na Mamelody
Uzito wa mechi unaonesha wazi kabisa team zetu (TZ) bado Zina safari ndefu kufika ubora wa team za UNAF
Sasa Wydad itamngoja mshindi baina ya Al Ahly na Mamelody
Uzito wa mechi unaonesha wazi kabisa team zetu (TZ) bado Zina safari ndefu kufika ubora wa team za UNAF