uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,303
- 9,478
Iko hivi baada ya zile team wasindikizaji a.k.a wafa kiume ,wakujitahidi au wazee wa makosa madogo yakirekebishwa tutafika mbali Leo ndio AFL inaanza rasmi
Macho na masikio ya wapenzi wa soccer barani afrika yanaelekezwa pale katika dimba la Loftus Versfeld stadium Pretoria ambapo team ya Mamelody watakuwa wakiwakaribisha mabingwa wa kihistoria kutoka Misri Al Ahly
Mamelody ambao sio wazuri sana katika mechi za mtoano watakuwa na maswali ya kujiuliza kwa wababe Hawa wa mechi za mtoano
Itakumbukwa kuwa mshindi wa kombe hili kitita atakachobeba anaweza kuamua kuanzisha team nyingine na ikawa giant Afrika
Sisi watanzania kwa umoja wetu kwa uwazi ama usiri tunaiombea Mamelody ushindi mnono hii ni kutokana na waarabu Hawa kumpapasa che Malone bila huruma na kumfunga Ally Salumu kila walipotaka kumfunga
Macho na masikio ya wapenzi wa soccer barani afrika yanaelekezwa pale katika dimba la Loftus Versfeld stadium Pretoria ambapo team ya Mamelody watakuwa wakiwakaribisha mabingwa wa kihistoria kutoka Misri Al Ahly
Mamelody ambao sio wazuri sana katika mechi za mtoano watakuwa na maswali ya kujiuliza kwa wababe Hawa wa mechi za mtoano
Itakumbukwa kuwa mshindi wa kombe hili kitita atakachobeba anaweza kuamua kuanzisha team nyingine na ikawa giant Afrika
Sisi watanzania kwa umoja wetu kwa uwazi ama usiri tunaiombea Mamelody ushindi mnono hii ni kutokana na waarabu Hawa kumpapasa che Malone bila huruma na kumfunga Ally Salumu kila walipotaka kumfunga