Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Hii Kali
Jamaa mmoja kakutana na demu mkalii Mlimani City...
Akamfuata na kumuomba namba ya simu... akapewa wakiwa karibu na parking...
Baada ya kupewa namba akamuaga binti akaelekea kwenye gari lake huku binti akimuangalia...
Basi akapanda RANGE ROVER EVOQUE yake na kuanza safari.. ndukiii
Kilichofuataaa..
.
.
.
.
.
.
.
.
Ni yule dada kuanza kufuata gari akiikimbiza.. huku akipiga kelele
Hiyo ni wrong number.... wewe... jamani .........ni wrong number hiyooooooo
😂😂😂😂😂😂
Jamaa mmoja kakutana na demu mkalii Mlimani City...
Akamfuata na kumuomba namba ya simu... akapewa wakiwa karibu na parking...
Baada ya kupewa namba akamuaga binti akaelekea kwenye gari lake huku binti akimuangalia...
Basi akapanda RANGE ROVER EVOQUE yake na kuanza safari.. ndukiii
Kilichofuataaa..
.
.
.
.
.
.
.
.
Ni yule dada kuanza kufuata gari akiikimbiza.. huku akipiga kelele
Hiyo ni wrong number.... wewe... jamani .........ni wrong number hiyooooooo
😂😂😂😂😂😂