Wrong no ananichanganya

Wrong no ananichanganya

yule mwenzako wa mbeya akaamua kukutana naye yule demu wake wa "wrong" number...mara ghafla demu kapotea room saa sita usiku...mara jamaa kaamka haoni...kama unaweza kutokujiingiza kwenye hatari zisizo na sababu fanya hivyo
 
hivi wewe unayasikia 'majini' au ni aje? mtu hakujui eti kakupenda hadi anakulilia! utajuta kumfahamu!
 
Yaani hakujui/Hamjuani alafu ndani ya siku tatu mmeshapanga hadi aje mkoa wako, ndani ya siku tatu hadi analia machozi kwa wivu? Anakusumbua hadi unazima simu? Na unadai umeshamkataza? Hivi vyote ni ndani ya siku tatu tu?

Aaaah Baba Twende kazi hapo umezidi aisee, turudishie chenji aisee

believe me, zipo hizi. Na wanaweza wakakutana wikiend ijayo (siku ya.10), na akafanya nae ngono nzembe! Kua uyaone, sio maghorofa!
 
Mh, kabinti kamekupenda ila hakajaonana nawe, kana wivu juu yako,eti unakazimia simu lakini kanaendelea tu kupiga na kukutumia sms (sijui kana kupateje hapo_

Kabintikanataka kuja mkoa ulipo, eti kanalia!

Aisee.hako katakuwa Ka. Wema Sepetu.
Kama sio Ka BwaBwa!

Kaimbie " Mi nataka kesho,twende ukamwone mama x2"(wa Diamond Platinum)
 
Mh, kabinti kamekupenda ila hakajaonana nawe, kana wivu juu yako,eti unakazimia simu lakini kanaendelea tu kupiga na kukutumia sms (sijui kana kupateje hapo_

Kabintikanataka kuja mkoa ulipo, eti kanalia!

Aisee.hako katakuwa Ka. Wema Sepetu.
Kama sio Ka BwaBwa!

Kaimbie " Mi nataka kesho,twende ukamwone mama x2"(wa Diamond Platinum)
ahahahhah
 
watu mna vituko jf.haya mambo yapo,ila huyo binti amekuwa kama desperate.kama kweli hauna interest nae,dawa ni kutokupokea simu na uendelee kumpa makavu live.ukiona bado usipokee simu zake atapiga mwisho atachoka.vibinti vyengine vina ny.ege za ajabu ajabu
 
watu mna vituko jf.haya mambo yapo,ila huyo binti amekuwa kama desperate.kama kweli hauna interest nae,dawa ni kutokupokea simu na uendelee kumpa makavu live.ukiona bado usipokee simu zake atapiga mwisho atachoka.vibinti vyengine vina ny.ege za ajabu ajabu
ahahahahahah..nimekuelewa..
 
Hahaaaa!Jamani, binadamu si mnyama usema agegede kwa kusikia sauti tu.Kwani wewe jogoo useme unamzia mtetea kwa kusikia sauti tuu?Hizo ni gia za kukuingilia tuu, soon utasikia "Babie I need a blackbery, my torch light mobile demaged".
 
Wrong no nilioipata mie ilikuwa ya mshairi mmoja ambae alikuwa akinitumia mashairi kibao. Alikuwa akinifurahisha sana lakini kwa bahati mbaya phone yangu ikaibiwa na hapo ndipo mawasiliano yalipoisha na lau sio hivyo labda ningelikua mshairi pia mm... Na madala yakua Wrong no. Ingeligeuka na kuwa Right No. Lol. .... Sitamsahau kipenzi changu Mshairi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom