Mkuu
twende kazi,
Here are scenarios;
1. Mtu huyo anakujua, na anafanya makusudi(lengo anajua yeye)
2. Hana kazi(idle) na kama anakazi muda wake wa kupumzika ndio 'anakupumzikia'.
3. Amefanya hivyo kwa sababu ulimuahidi/ulim-entertain yaani hadi kujuana mikoa sijui na mambo kama hayo.
Kwani, ulipojaribu kutomjibu ilikuwaje mkuu, kama bado jaribu hii..kulingana na maelezo yako, inaonekana unatumia simu nzuri probably 'smartphone', kama ndivyo kuna apps nyingi za kuweza kum-block huyo mtu.
Endapo utaendelea kum-entertain pengine itakuwa shida si yeye, ...and worse case scenario utaibiwa mjini hapa. Wala usijipe moyo kuwa watu wana-register namba, kuna fake IDs nyingi sana.
So, unless you are idle and you enjoy the game(having fun), don't play along, mkuu.