kebacho.lucas
Member
- Dec 28, 2012
- 28
- 11
Yaani hakujui/Hamjuani alafu ndani ya siku tatu mmeshapanga hadi aje mkoa wako, ndani ya siku tatu hadi analia machozi kwa wivu? Anakusumbua hadi unazima simu? Na unadai umeshamkataza? Hivi vyote ni ndani ya siku tatu tu?
Aaaah Baba Twende kazi hapo umezidi aisee, turudishie chenji aisee
Wazo lako kwangu lipo approved 100%
Jamaa anataka kuona wazo lake lina comment nyingi na sio vingine 😀