Written Interview Equity Commercial Bank

Written Interview Equity Commercial Bank

sambb

Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
33
Reaction score
12
Hello JF, nimeitwa written interview ijumaa tarehe 25/4/2014 kwenye bank tajwa hapo juu. Mwenye ufahamu kuhusiana na hii bank kwa upande wa mishahara, namna wanavyowatreet wafanyakazi naomba msaada.

Nawasilisha.
 
Eti mkuu mi nauliza pia ukishafika ubungo stand QUALITY CENTRE(ENEO LA INTERVIEW YA EQUITY BANK) ipo wapi i.e give a rootmap/roadmap yake please..!!
 
Eti mkuu mi nauliza pia ukishafika ubungo stand QUALITY CENTRE(ENEO LA INTERVIEW YA EQUITY BANK) ipo wapi i.e give a rootmap/roadmap yake please..!!

Panda gari za Temeke au mbagala au gongo la mboto ushukie tazara pale uliza au panda bodaboda wakupeleke
 
Panda gari la ubungo- gongolamboto shuka tazara. Panda magari ya gongolamboto-posta shuka mdava(kituo kinachofuata baada ya tazara)
 
nadhani munamuelekeza aende quality centre kuna ofisi yao pale.
 
Hello JF, nimeitwa written interview ijumaa tarehe 25/4/2014 kwenye bank tajwa hapo juu. Mwenye ufahamu kuhusiana na hii bank kwa upande wa mishahara, namna wanavyowatreet wafanyakazi naomba msaada.

Nawasilisha.
Usiwe na haraka,wewe umeitwa written interview,unataka kujua mishahara ukiwa short listed utataka kujua nini?By the way mshahara wa mtu ni siri,hujataja post uliyoitiwa unaamini wote wanalipwa same amount regardless of experience?Piga interview ukienda kunegotiate ndiyo unaweza taka kujua salary scale,na mtu atakaye kupa jibu zuri ni anayefanya kazi pale.Humu JF mtu akikwambi wanalipa 1M,how do you prove anachosema ni kweli?Ukiwa hapo bank tafuta mtu mwulize mshahara wa hiyo position yako at least utapata pa kuanzia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom