Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 998
Wakuu habar zenu
Leo nilitembelea nilienda Bank nilikua nimebeba kapu, kufika bank nikaona siyo vizur kuingia na kapu ndan ya bank na lina mazagazaga nilikua nimetoka sokon bas nikawakuta walinzi "police" nikawasalimia nikawaomba niache kapu langu yule police mmoja akaniuliza kuna nn humu nikamuonesha nilihisi ni kwa sababu ya usalama pia niliona kawaida
Wakat natoka yule Afande alikua ananiangalia jicho LA kuibia ibia, nikamaliza shughur zangu mle ndani nikawafuata, nikawaambia Kaka ashanten nachukua mzigo wangu,
Yule afande alikua ananitazama tazama akaniambia poa karibu akaniambia Madam Wp ngap, "nikasema unasema" akarudia wp ngapi kama mala tatu hv,
Kwa kweli sikuelewa nikamjibu cjaelewa unamaanisha nn kaka, akatabasam akasema bas poa madam we nenda tu.
Kiukweli hili neno cjawah kulisikia tokea nizaliwe na cjui maana yke, mwenye uelewa na neno "Wp ngap" hembu anieleweshe maana ameniachia mawazo nimejaribu kugoogle labda ntapata majibu lakin wapi
Waafande mliopo humu naomba mniasaidie hii lugha yenu alikua anamaanisha nn yule kaka afande.
Leo nilitembelea nilienda Bank nilikua nimebeba kapu, kufika bank nikaona siyo vizur kuingia na kapu ndan ya bank na lina mazagazaga nilikua nimetoka sokon bas nikawakuta walinzi "police" nikawasalimia nikawaomba niache kapu langu yule police mmoja akaniuliza kuna nn humu nikamuonesha nilihisi ni kwa sababu ya usalama pia niliona kawaida
Wakat natoka yule Afande alikua ananiangalia jicho LA kuibia ibia, nikamaliza shughur zangu mle ndani nikawafuata, nikawaambia Kaka ashanten nachukua mzigo wangu,
Yule afande alikua ananitazama tazama akaniambia poa karibu akaniambia Madam Wp ngap, "nikasema unasema" akarudia wp ngapi kama mala tatu hv,
Kwa kweli sikuelewa nikamjibu cjaelewa unamaanisha nn kaka, akatabasam akasema bas poa madam we nenda tu.
Kiukweli hili neno cjawah kulisikia tokea nizaliwe na cjui maana yke, mwenye uelewa na neno "Wp ngap" hembu anieleweshe maana ameniachia mawazo nimejaribu kugoogle labda ntapata majibu lakin wapi
Waafande mliopo humu naomba mniasaidie hii lugha yenu alikua anamaanisha nn yule kaka afande.