J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,520
Mara nyingi sipendi kuwalaumu madereva ila katika hili kwa vyovyote dereva wa bas hakuchukua tahadhar ya kutosha . Kwa mtazamo wangu ajali hii ilikuwa hailwepeki lakin dereva angeweza kupunguza madhara yaliyotokea. Jambo jingine magar yanayotumika tanzania mengi hayana hadh ya kubeba abiria kabisa nina amin gari ile ingekuwa Yutong au Zoutong new model madhara yasingekuwa haya lazima ajali ingezuilika. Ni kweli kuna shimo lakin kumbuka dereva analijua shimo hilo anapita kila siku. Pia kwa mtazamo wangu naona kama alikuwa na speed kubwa sana hiyo ingemsaidia dereva kuepuka kugongana uso kwa uso japo ajali igetokea madhara yangepungua kwa hiyo nadhani pia huyu dereva alikuwa na matatizo ya akili kidogo(punic) . Ushaur wangu kwa madereva wenzangu unapokimbiza gar jaribu kuwaza hiv ikitokea dharura ndani ya mita hamsin naweza kusimama au kuepuka? Kabla ya kujijibu swali hilo angalia uwezo wa gar lako. Kwa wale wanaoendesha bus za kichina inawezekana vip kwa wale wa scania na nissan? Kwa malor mwenye Man ,iveco au howo anaweza mwenye scania jitafakari. Sipingi mwendo mkal ila lazima dereva ujue unachofanya. Pamoja na mashimo msimamo wangu dereva alifanya uzembe asingeepuka ajal kama lor lilimfata lakin madhara yangepungua sanaaa.