Wote hapa duniani ni wapitaji

Wote hapa duniani ni wapitaji

Michawi ingekua inafikiria hivi hakika ingeacha uchawi..mfyuu
 
Ningewajua wale wasiojulikana walio ua watu na kuwatupa baharini kwa kutetea uovu, wale waliompoteza Ben Saanane na wengineo, wale walioiba Kura mchana kweupe, wale walio mmiminia Lisu risasi ningewatumia hiyo video..
Bahati yao humu jf hawapo.
 
Hii video imenifanya nitafakari, kweli hapa duniani tunapita; unaweza ukapambana ili uweze kuishi miaka mingi; lakini viungo vya mwili vikaendelea kuchoka na hatimaye kupoteza ufanisi wake, mfano macho, ngozi n.k na mwisho wa siku moyo kushindwa kufanya kazi yake na kupata umauti.

Miaka 399

2022-399 = 1623

Ina maana huyu amezaliwa kabla hata ya Mapinduzi ya Viwanda (Industrial Revolution)?
 
True halafu unakuta mpumbavu mmoja anaua mwanadamu mwenzake hali nae atoishi milele
 
Back
Top Bottom