masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
View attachment 81426
Pamoja na kuwa mimi si mchoraji wa majengo, lakini jengo hili karibu na Ubalozi wa Kenya linakera hata kulitazama!
Godown si godown , ofisi si ofisi.
Pamoja na kuwa mimi si mchoraji wa majengo, lakini jengo hili karibu na Ubalozi wa Kenya linakera hata kulitazama!
Godown si godown , ofisi si ofisi.