World’s Most Beautiful Airports

World’s Most Beautiful Airports

Wachaga hawafanyi utani kabisaaa...
13785307.jpg
 
Tukiacha mamabo ya kuficha pesa nje ya nchi haya ya kuwa na uwanja wa ndege mzuri na wenye hadhi inawezekana sana
 
hata tukikopa WB bado haitafikia huko maana viongozi wetu wanapenda chajuu saana na ndo tabia yetu wa TZ
 
Kwaiyo wachaga ndio wamejenga huo uwanja! Labda ule pale Moshi..tuwekee picha ya Moshi Airport

'Kilimanjaro International Airport' - Jibu unalo mkuu. Mbona unataka ubishi usio na maana? Tuige mifano mizuri ili kupata maendeleo. Wewe utang'ang'ana na ubishi wako mpaka lili? Utabakia hivyo hivyo na ndio sababu huko sumbawanga zinatua Ungo tuu!
 
Back
Top Bottom