Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,272
Huo usafiri leo ni special kwa ajili ya Portugal nini!.:dance:Inaelekea itakuwa mechi nzuri..leo naangalia tu!!
Huo usafiri leo ni special kwa ajili ya Portugal nini!.:dance:Inaelekea itakuwa mechi nzuri..leo naangalia tu!!
nipo fiti kuliko serikali ya KIKWETE, leo tunamfungisha virago SPAIN rasmi kabisahe he he......hujambo
hizo timu zako unazoshangilia mkuu mpaka sasa hivi ulitakiwa ushabadilisha jina umekuwa panadol lol maanake ni za kuumiza kichwa tu lol.
mie leo upande wa Spain kabla sijaaanza kuyataarisha mavuvuzela kwa ajili Ghana.
Ha ha..yani nimeanza kumsahau kwa mbali tangu aondoke OT halafu Villa,Xavi&Torres nawamind! sielewi nishangilie timu gani leo.......
Haya mashabiki wa Portugal...Nawasilisha....
![]()
Duh!!!...BJ,....Mwenzio hapa nilikua naangalia mpira tu lakini hio miguu hapo kwenye avatar yako...mmmhhhh!!
Nimechoka jamani....:biggrin1:
Ha ha..yani nimeanza kumsahau kwa mbali tangu aondoke OT halafu Villa,Xavi&Torres nawamind! sielewi nishangilie timu gani leo.......
Nimeupenda huo msamiati uliotumia, Ha ha ha!.Ab-T mwanamke high heels tena ukiwa na guu!..ha ha,pole mwaego!!.ukiona hivyo leo mpira utanoga mana macho yamechangamka!!..Mie nipo kotekote leo!!!
hehehe mkuu hakikisha unabaki mpaka mwisho wa gemu, SPAIN anaaga mashindano ndani ya 90 leo.
Huo usafiri leo ni special kwa ajili ya Portugal nini!.:dance:
Inaelekea itakuwa mechi nzuri..leo naangalia tu!!
The opposite is true :whistle:c'mon SIMAO, C'mon ALMEIDA ,c'mon TIAGO. SPAIN wanafungishwa virago leo (hii haina mjadala kabisa)
nipo fiti kuliko serikali ya KIKWETE, leo tunamfungisha virago SPAIN rasmi kabisa
nje kabisaaa ya mada.....huu MGUU kama naujua.....ngoja nikumbuke nimeuona wapi.......
Hata hawa wareno watakukatisha tamaa zaidi ha ha ha....mie yule Venus kaniudhi leo wamenfungasha virago kule Wimbledon kwa hiyo hapa nategemea raha toka kwa Wareno.
Duh!!!...BJ,....Mwenzio hapa nilikua naangalia mpira tu lakini hio miguu hapo kwenye avatar yako...mmmhhhh!!
Nimechoka jamani....:biggrin1: