RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,821
- 129,719
I second your opinion AW....labda wanaogopa kuwaoffend waliotoa jina la Jabulani
tatizo sio jina la mpira,ni jinsi ulivyotengenezwa.....wangerekebisha jinsi walivyotengeneza na jina linabaki lile lile JABULANI.....