World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

nomaaa sana ugonjwa wa moyo wa mwisho kwenye world cup.mambo yakuangalia mpira kwa hasira wala sio starehe .
 
huyu kocha wa ghana huwa ananifanya mpaka nisahau kama Muntari ni mghana kwa jinsi anavyompiga bench.
 
........Tatizo Ghana walivyofunga kigoli kimoja basi walijiona wamewin, sasa wakifanya mchezo hapa USA itafunga la 2.
 
Nani hakujua kwamba Ghana kuifunga USA ni kazi ngumu? USA wameizidi Ghana kimpira miaka yote. Kibaya zaidi wanajiona kama wanajua mpira kuliko USA.
 
........Tatizo Ghana walivyofunga kigoli kimoja basi walijiona wamewin, sasa wakifanya mchezo hapa USA itafunga la 2.
Ghana wana kipa mzuri mkuu, wasiwasi wangu ni hizi dakika za mwisho!
 
goaaaaaaaaaaaallllllllllllllll safi sana Ghana! (natania jamani LOL)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…