BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Jamaa naona tumeisusa CMR, maana hata hakuna thread hapa. Mtoto wako hata kama atakuwa mwizi bado ni mwanao tu, tafadhali tuwape bye bye hawa Simba wa Nyika!.
Naona wameshakung'utwa kimoja na Orange team!..he he huzuni jamani!!!