shejele
Senior Member
- Aug 5, 2008
- 140
- 23
Holland wana nafasi kubwa ya kushinda game hii
You were right, now lets hope Ghana hawatatu disappoint.
Holland wana nafasi kubwa ya kushinda game hii
leo ghana tuwaombee washinde halafu mechi ya mwisho wamkomalie sana germany kwani wajerumani wakipata nafasi ya kumkandamiza ghana hawatamuachia hata game ikiwa haina umuhimu kwao.....
pia slovenia/slovakia..ha ha!..eniwei,mods watashughulikia mabadiliko ya heading usihofu!
Hivi Muntari bado yu mgonjwa???????????
You were right, now lets hope Ghana hawatatu disappoint.
nijuavyo mimi yuko fit,ila kocha wao anamuamini huyu dogo wa abed pele
Dogo anaremba sana japo mzuri anafaa kuingia 2nd half.....Muntari ni mzuri katika kulazimisha ushindi aisee