ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Wapi nimepinga?!Kwahio mkuu unataka kupinga kuwa US ndio mwenye deni kubwa duniani, aiseee ww ni mkali
Maana kwa mujibu wa article China total debt ni 40trilion na USA ni 69% trillion.
Kumbuka GDP ya China ni 14trilion na USA ni 21trilion