KERO Responded Working permit zaidi ya wiki sasa mtandao unasumbua haufunguki, nini shida?

KERO Responded Working permit zaidi ya wiki sasa mtandao unasumbua haufunguki, nini shida?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Topintz

Senior Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
167
Reaction score
659
Kwa zaidi ya wiki sasa mtandao wa vibali vya kazi Kazi | ePermit unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano haufanyi kazi. Kabla ya kwenda chini kabisa, website ilikua slow vibaya mno, ila sasa ni zaidi ya wiki website haipatikani kabisa.. ukiwapigia wanasema wanafanya maintenance. Wiki nzima maintenance?

Kazi zimekwama hakuna kibali cha kazi kinachoombwa wala kutoka na ukiangalia ni eneo nyeti kwani linahusu wageni na wawekezaji. Mnatukosea sana wateja wenu, kama kuna changamoto kubwa si mtoe tangazo rasmi na timeline ya kusubiri tujue mwisho wa hii changamoto.

Je, kwa uzembe huu ni mapato kiasi gani kama nchi tumeyakosa kwa kutokuwa hewani wiki nzima?

Screenshot 2026-03-10 141053.png

Pia soma ~ Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano yaomba radhi kwa tatizo la kiufundi katika Mfumo wa Maombi ya Vibali vya Kazi
 
Back
Top Bottom