Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,385
Acha hizo wewe kunywa pombe usahau shida...imeandikwa!!!umeongea point heri yangu mimi situmiii kabisaaaa pombe kwanza huwaga sioni faida ya pombe chungu mnooo acha nibaki na ushamba wangu
pombe inaongeza majanga ya kujitakia
1 kubakwa
2 inapunguza heshima ya mwanamke
3 inaondoa opportunity ya kupata maendeleo kwa wakati muafaka
and so on
Wacha weeee, afu jamaa mnafiki anajifanya kama hana time
Honestly Karucee you've spoken very wisely, you even sound like a very shrewed retired hooker granny(Joke!)! Congrants!
I love a woman who can drink with Me but I hate it when I have to mop her puke off my room's floor or carry her the whole way home! I can stand it once or twice but it becomes so bothersome when it happens frequently!
I hate it when I have to worry for hours when shes gone out with her friends because Its hard to predict what will happen next when shes drank na wahuni waliojaa mjini humu, huchelewi kumwokota kwenye mtaro somewhere huku washabutua marinda!
MWANAMKE kama unaona huwezi kuhimili unywaji kwa muda mrefu au huziwezi pombe, nunua unywee home, kataa offer zitakusababishia matatizo ambayo hautasahau!
Acha hizo wewe kunywa pombe usahau shida...imeandikwa!!!
Acha hizo wewe kunywa pombe usahau shida...imeandikwa!!!
Karucee nilishawahi kulizungumzia jambo hili wakati fulani, waweza kupitia link hii hapa:Don't rely on your friends to take care of you. Have enough sense to know when you have had enough. Do not entertain offers to buy you more beers if you cannot drink anymore.
No one will consider you a heroine for drinking the most beers. Wengine kina naniliu wanasubiri uzime wakunanilii na video juu. Uso wako utauweka wapi mjini hapa na Whatsapp hii?
Beer hainaga formula. Mie mama lao Karucee sometimes just 200ml of whisky makes me speak my mother tongue. Other times I drink for more than 15 hours straight. Wanafunga bar wananichia drinks zangu pembeni. Chezea staff wa bar wewe? You can never predict how alcohol will drive you. Sio supu hii mama weeee.
Being in a drunken state means that you are more vulnerable. You could easily be overpowered and get raped. They could do your ass unajua? Utalia na nani ushafanyiwa kamchezo kabaya? No laughing please am serious.
Kindly be careful.
Am out.
Mndengereko, Ntuzu, utafiti, EMT, Tized, OLESAIDIMU Eiyer, kobun Mtambuzi, SHIEKA, Desert Storm, muwahabarishe dada zenu.
Evelyn Salt, miss chagga, Honey Faith, Angelicious miss neddy Zinduna..... na wengine, please drink responsibly.
Teh mi nimempa tu mstari wa biblia lol....Mma weeee! Sijawahi kumshauri mtu anywe pombe!!
AKija kuharibikiwa?
Eli79 na miss neddy wabaki hivyo hivyo. Don't ever drink. Your life will not end if you don't.
A retired what? Hell am coming for your neck, lol.
Mma weeee! Sijawahi kumshauri mtu anywe pombe!!
AKija kuharibikiwa?
Eli79 na miss neddy wabaki hivyo hivyo. Don't ever drink. Your life will not end if you don't.
Karucee nilishawahi kulizungumzia jambo hili wakati fulani, waweza kupitia link hii hapa:
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/215246-kupombeka-na-aibu-ya-mwanamke.html
Ni kweli madam, kila mtu anazo choices, na mie ndo chaguo langu. Ila mvinyo, mmmh!Mma weeee! Sijawahi kumshauri mtu anywe pombe!!
AKija kuharibikiwa?
Eli79 na miss neddy wabaki hivyo hivyo. Don't ever drink. Your life will not end if you don't.
Karucee,
Pia tupia ushauri wako kuhusu mambo ya baadhi ya pombe kumkimbiza mwanamke (over stimulated) hadi atamani kukamata njemba kwa nguvu!
Commendable Note there!When Ichoose to drink home I prepare some hors d'oeuvre, chill some beers , Freeze some rocks if am taking whisky or gin, 'roll some weed' and entertain myself with my choice of music and have a private session of karaoke. I could have some buddies over and well have a great time.