- Thread starter
- #61
Mkuu hapo kwenye red ni somo jipya kama una nafasi please uliandikie andiko ili tuelewe zaidi. AsanteI learned a hard way in my youth... LOVE IS NOT ENOUGH!
Mkuu hapo kwenye red ni somo jipya kama una nafasi please uliandikie andiko ili tuelewe zaidi. AsanteI learned a hard way in my youth... LOVE IS NOT ENOUGH!
Charity, hapo kwenye red umenigusa sana maana nimeshaiona sana hii kwa rafiki zangu, kweli I LOVE U only is not enough, naanza kukubaliana na MM na Gajindia ICU,yani hata ukiniambia "I love you" mara mia lakini mfano nikiumwa haujali,au nikiwa na tatizo lolote haupo.
Pengine wewe huna muda na mimi kila siku baa au kwa marafiki zako.Na hata wakati mwingine out zako huendi nami.Hivi unategemea hizo'i love you ' zitasaidia nini?Wanawake huwa tunamuvuzishwa sana na vitendo kuilko maneno matupu.
Maneno yako yanaushawishi mkubwa sana Mkuu, hasa hapo kwenye red na blue. Ila kote nilikohighlight kunahitaji mjadala zaidi hatuwezi kuacha haya yakapita hivi hivi tu. Am coming soonlove has never been enough!
since hakuna kipimo cha mapenzi, huwezi kujua kama wewe na patner wako mnapendana sawa sawa.
kuna vitu vingi vinavyochangia kudumisha mapenzi
kwa upande wangu nafikiri
mwanamme kuwa kiongozi wa nyumba kwa yote ni muhimu. he should earn more than i do ( hii nadhani inaleta respect kwenye nyumba),
asiwe mbaghili, sio kwangu tu, lakini pia we mtoa sadaka
haha did u even bother to read what I have written... money is ur big problem? i advice u to work hard and make more money... because there is no such thing called love with ur empty pocket, empty stomach or homeless... there are bills to pay, tell me how that love will help u to pay the bills...u dont want ur woman to pay ur bills.... do u now? and u gonna call urself a man...Marrying someone for his money. "I am in love with you big pochi." Pesa zikikatika na wewe unachanja mbuga. Huna mapenzi ya kweli wewe. Bora ujiite NO LOVE BUT GOLD DIGGER.
Charity, hapo kwenye red umenigusa sana maana nimeshaiona sana hii kwa rafiki zangu, kweli I LOVE U only is not enough, naanza kukubaliana na MM na Gajin
haha did u even bother to read what I have written... money is ur big problem? i advice u to work hard and make more money... because there is no such thing called love with ur empty pocket, empty stomach or homeless... there are bills to pay, tell me how that love will help u to pay the bills...u dont want ur woman to pay ur bills.... do u now? and u gonna call urself a man...
I just prefer a real man...
sometimes ''LOVE'' ain't just enough!...
it is not easy living with WOMEN
I learned a hard way in my youth... LOVE IS NOT ENOUGH!
Umepotea sana mkuuthats may imply to some women, since I am not a very romantic person I need more than love to stick with a man...