Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Do you think you MEN are angles and ir is very easy to live with you?
I think men are most sturborn people in the world.
haha shemeji na huo ustuborn ndo mkiupenda au sio lol
Do you think you MEN are angles and ir is very easy to live with you?
I think men are most sturborn people in the world.
Hiyo sio kweli.wanaume ndio watata sana.Hawapendekagi kirahi,wamegubikwa na tamaa na sio mapenzi ya dhati.Hata ukitaka kuangalia wanaume ndio waanzilishi wa matukio mengi mabaya(eg kuchinja albino nk.)
Na kwenye ndoa wanawake ni wavumilivu sana wa tabia mbaya za wanaume(wanwake wanavumilia sana na kuficha siri za wanaume hata kama inamtesa vipi kwa ndugu za mwanaume)Wapo tayari mara nyingi kubeba lawaza za waume zao lakini si wanaume.
Na hiyo ya kusema wanawake wanagombana na kumwambia mwenzie tabia za kike nayo ni dhana potofu tuliyopandikizwa wanawake ili tujione hatupendani ili kututawala zaidi.
Mimi sitaki a man to tell me he loves me, I want him to love me. Mambo ya kusema "I luv u" kila mara wakati moyoni sio kweli hayapendezi. na a genuine woman anataka love tu kwa mwanaume, na sio vitu vingine. Unaweza ukapata vitu vingine sehemu yoyote, lakini sio love.
Asante kwa majibu mazuri FP lakini bado nina tatizo ni wakati gani hasa mwanaume amwambie mwanamke wake I LOVE YOU? Kuna specific time/period?[/QUOTE]
I believe kuna specific time ni vizuri ukamwambia mpenzi wako I love u. mfano amekushauri jambo fulani zuri, au amekufanyia jambo zuri. sometimes unaweza kumwambia for no reason but once in a while. sio kila mara I love u, hata kama upo na mpenzi mwingine unamu-sms kumwambia I love u; hiyo haikubaliki
Naomba nipingane na wewe husiana na specific time ya kumwambia mwenzi wako kwamba unampenda. Ninaamini kwamba neno 'I Love You' huwa linatoka toka chni kabisa uvunguni mwa moyo wa mtu na kuwekwa wazi lisikike na mlengwa. Pia kwa ufahamu wangu wa mapenzi ni vile vitu vidogo sana ambavyo mara nyingi huwa tunaviona havina maana wala msingi katika mapenzi yetu ndio vina umuhimu zaidi na ndio hivyo vinavyothibitisha upendo wetu kwa wenza wetu in one way or another.
Kumaanisha lile ambalo unaongea unahitajika kumfanya mwanamke wako ajifeel 'special', ajione kama yeye ndio mwanamke pekee duniani. its a hard job to love a woman but if your love comes from the heart then all else comes outomatically and you don't need kuumiza kicha on how and when to tell her you love her...you can have a million and one ways to do so at any given time.
Nadhani hujui haya mageuzi.Wanaume ndio wanaongoza kwenye shughuli hizo ciku hizi.We nenda kwa shehe yahaya utajua kuwa wanaume ndio wengi zaidi huko wanatafuta kizizi.au kwenye Taarabu wanaume wanashika kasi ya ajabui.Unafikiri hii ni dalili gani?Kama wanaume ndio wanaanzisha matukio mabaya, vipi katika kuleta madawa ya kienyeji na za imani potofu kwenye familia? eg. limbwata....... Je, huo ndio uvumilivu na kubeba lawama za wananume kwa wanawake?
Mimi sitaki a man to tell me he loves me, I want him to love me. Mambo ya kusema "I luv u" kila mara wakati moyoni sio kweli hayapendezi. na a genuine woman anataka love tu kwa mwanaume, na sio vitu vingine. Unaweza ukapata vitu vingine sehemu yoyote, lakini sio love.
a woman is never taken by handsome body of a man but by love, if you will love your woman completely and romantically, that is enough security for her to cleave to you until death
naturally a woman expects her man to know how to love her; she will never tell you want she wants instead she is expecting you to take her the all way of love. Dont take for granted that you know her; keep on knowing each day and continue discovering what her heart needs.
Nimepata haya machache kwenye jarida moja hivi. Je haya ni ya kweli au ni maneno matupu tu?
What if she is given that love and she does not reciprocate it?
Nadhani hujui haya mageuzi.Wanaume ndio wanaongoza kwenye shughuli hizo ciku hizi.We nenda kwa shehe yahaya utajua kuwa wanaume ndio wengi zaidi huko wanatafuta kizizi.au kwenye Taarabu wanaume wanashika kasi ya ajabui.Unafikiri hii ni dalili gani?
Sasa Bibie Charity, hizi actions zinakujaje bila maneno? Kwanza nijuavyo mwanamke anahitaji sana maneno mwanzoni bila vitendo maana mwanaume akileta sana vitendo anaonekana muuaji na hasiyekuwa na malengo ya muda mrefuYes,actions is what I want.
Carmel, nataka kujua hapa kwenye actions zaidi, actions zinakujaje kabal ya maneno ya kufa mtu?words are ok, but I appreciate actions more than words
Sorry Akili take that back.. Mchunaji is not in my dictionary... u r not getting my point there... U know when I say I want him to make more money than I make it doesnt mean I want to spend all his money thats ofcourse not how I was brought up to be and tell you what RELAX I make enough money... but what I meant is I dont want him to be intimidated or feel inferior if I make more money than him... I came from family where men are always the main bread earners... so thats what I expect my husband to be... ... I will not want to be the main bread earner honestly.. I am enjoying being a normal woman... i dont wanna be super woman or an iron lady or whatever... opps may be thats why I didnt marry mkuriya..hehehehe................. siri zingine zinaanza kufichuka............ natamani wakuu WOS na GS wangetolea ufafanuzi hapo kwenye bold......................
lakini mpendwa noname leo umeniangusha kwa kujitambulisha hapa kuwa wewe ni mchunaji!!!!!!!!!................ halafu nakumbuka ulisema unadeka sana hata ndoo ya maji huwezi kunyanyua............... sasa si utamuua huyo kaka yetu jamani.!!!!!!!!!.... umchune fweza, halafu ahata maji akubebeee................. hata mkienda shopping yeye abebe vifurushi vyote asombe garini hadi viishe wewe unakula shushi................ ila ungepata mume wa kikurya, pangenoga utamu kwelikweli hapo nyumbani kwenu!!!!.............. hahaha................ noname bwana ................ haya bwana na huyo mzee wako naamini atafika mbinguni ...............
Mmmh! itakuwaje sasa ukipata mkaka ambaye ata-make money less than you do? mapenzi ndo yataishia hapo, au?
thats my name...why Noname is not good enough for u?oooh...Noname....now tell me your name please.....
then may be i wont consider marrying him...
dia ICU,yani hata ukiniambia "I love you" mara mia lakini mfano nikiumwa haujali,au nikiwa na tatizo lolote haupo.Sasa Bibie Charity, hizi actions zinakujaje bila maneno? Kwanza nijuavyo mwanamke anahitaji sana maneno mwanzoni bila vitendo maana mwanaume akileta sana vitendo anaonekana muuaji na hasiyekuwa na malengo ya muda mrefu