One thing for certain is i was so glad you let go maana sio kawaida
yako to let go that easily.... Mtu yeyote aweza panick for ilikua kama
mmemvamia; and she is soo mild and peaciful katika hali ya kawaida...
Thus the inevitable escalation....
1. Hakikisha unakuwa na good look
Tumia kioo chako kujiangalia ukoje , usijiache muda wote uko rafu, new haircut itasaidia pia kukuonyesha upo tofauti na jana, si mnajua wanaume wanapenda upya wa mambo kila siku? basi tumia kioo chako kujifanya mupya kila siku.huwezi kumfanya mume awe na wivu kama unajiacha na kuwa kama golila kila siku,add some hair colour, look young, clean and healthy kila siku.
7.Muhakikishie Upendo na uimara wa penzi lenu
Kama unampenda kwa ukweli mwanaume wako huna haja ya kumuumiza kabisa,tunataka tu kuwaweka kwenye right drection, wakati mwingine maongezi yanasaidia, ongea nae mwambie yeye ni mapenzi wa maisha yako na hakuna kitu kinachoweza kuwa between you two,wanaume pia wanapenda kuona kwamba wanahitajika na wake zao, kama wewe uko emotionally strong,sexy, entertaining,loving woman lazima tu atataka kuwa around you muda wote
Tushee mawazo wapenzi
Kunani hapa???
Wakati mwingine huwa siilewe hii JF pamoja na kutumia muda mwingi nifungua na kufunga kurasa za MMU!
Kunani hapa???
Wakati mwingine huwa siilewe hii JF pamoja na kutumia muda mwingi nifungua na kufunga kurasa za MMU!
Imehusu personal sana na unajua, sina la kuficha yote yanajulikana kwa hiyo sitaweza kuanzisha thread bila wajuaji kama nyie kuniona sina haki, ukiuliza nimecheat, kama huusiki ulisapoti niniKavamiwa na nani?
Hivi hamtaki mpingwe hoja zenu ee?
Hayo ya mild and peaceful sisi hapa kwenye thread hii yametuhusu na kitu gani?
Ukiweka hoja mezani tarajia kupata upinzani kwa hoja zako, yeye ndio amegeuza personal.
Mimi sihusiki na personal life yake na nime judge kile kilichoandikwa hapa tu.
Mna nini nyie mbona hivo? nimekubali mawazo yenu sawa na kila mtu ana mawazo yake
Imehusu personal sana na unajua, sina la kuficha yote yanajulikana kwa hiyo sitaweza kuanzisha thread bila wajuaji kama nyie kuniona sina haki, ukiuliza nimecheat, kama huusiki ulisapoti nini
Kavamiwa na nani?
Hivi hamtaki mpingwe hoja zenu ee?
Hayo ya mild and peaceful sisi hapa kwenye thread hii yametuhusu na kitu gani?
Ukiweka hoja mezani tarajia kupata upinzani kwa hoja zako, yeye ndio amegeuza personal.
Mimi sihusiki na personal life yake na nime judge kile kilichoandikwa hapa tu.
And to be like me I should comment like how? Please share
Hapa siruhusiwi nakusubiri nje una kesi ya kujibu.Mwanaume mwenye wivu hata simpendi.
Kunani hapa???
Wakati mwingine huwa siilewe hii JF pamoja na kutumia muda mwingi nikifungua na kufunga kurasa za MMU!
Mwanaume mwenye wivu hata simpendi.
Kumbe tuko wengi. Wivu unakwamisha kabisa maendeleo.