Women Down!

Haya uliyoandika sio yanayofanywa na wanawake. Wanawake wanachoomba ni kupendelewa because they can not compete with men. Mfano Kwa sababu wanawake wengi walikuwa hawawezi kuendelea na elimu ya sekondari, wanafaulishwa kwa viwango tofauti. Pia kwenye viti vya ubunge, kwa sababu mwanamke hawezi kushindana na mwanaume ndio maan mmepewa viti maalumu.

Mi naona mbadilishe tu msemo kwamba tunaomba wanaume wawe wanatupendelea na sio kuomba haki sawa. Halafu mbona hizo haki sawa mnazitafuta kwa kufanya mambo wanayofanya wanaume. Mnatamani kuwa wanaume?????!!!!!

Hayo siyo yanayofanywa na wanawake wapi?!Unaowafahamu wewe?!Kama jibu ni ndio je wao ni wawakilishi wa wanawake dunia nzima?!Kama jibu ni hapana je unajuaje kama siyo?!

Kama kweli ungekua na vithibisho vya unayoongea swala la ubunge wa viti maalumu lingekua dogo sana maana sidhani kama ndivyo inavyofanyika dunia nzima. Pia swala la kufaulishwa kwa viwango tofauti sikuwahi kufahamu....na hata kama ndivyo bado I can guarantee you kwamba kufaulu kwangu wakati nasoma hakukua kwa upendeleo.Unless 50% ya msichana inatambulika tofauti na 50% ya mvulana. Kama kwenye mitihani ya shule tu (achana na ya taifa maana labda ndipo upendeleo ulipo) wasichana wengi tu wanawapiga kikumbo wavulana iweje muamini kwamba wanahitaji upendeleo kupata marks za juu?!
Huo sasa ndio mfumo dume unaopingwa...kinachotakiwa ni kwa wanawake kupewa nafasi ya kufanya mambo kwa uwezo wao wenyewe badala ya kupewa ushindi wa mezani kwasababu hatuuhitaji.Kwenye siasa bado sisi ni wachanga sana kama nchi..hivyo kitendo cha kuwakabidhi wanawake ubunge (japo sikubaliani nacho) ni njia ya uhamasishaji pia nyingine kati ya mifumo dume. Hakika sio wanawake wengi wanaojishughulisha na siasa hapa kwetu kwasababu mwanzoni waliaminishwa kwamba HAWAWEZI hivyo kinachofanyika sasa hivi ni wanaume kuwahamasisha wanawake waanze kujihusisha nayo...ila sasa kwasababu bado mfume dume umetawala wanawagawia ili waamini kwamba wenyewe bila msaada wa mwanaume HAWAWEZI.

Na kama utaniambia kwamba hata mawaziri wa kike (nje ya Tanzania) nao walibebwa basi ntakuona bado unaishi enzi za agano la kale na unahitaji kuwa UPDATED haswa!
 
Aliyeandala hii thread hana akil timamu tena n tahahira.nan kama mama,yuko juu na v2 vyote,tena nahs we n bwabwa
 
Kabla sijaanzisha huu mjadala, naomba wanawake wote wa JF wanisamehe kama mada hii itawa upset in one way or another.

Mimi binafsi kuna kitu kinanichanganya sana kuhusu wanawake ndio maana nikaona si vizuri kuumiza kichwa peke yangu ila niilete hii mada hapa Jamii Forum ili niweze kupata mawazo ya wadau kwa sababu inawezekana mtazamo wangu si sahihi.

Hivi wanawake wanaposema wanadai haki sawa, wanamaanisha nini exactly. Wanadai haki au upendeleo.

Nikianza na biological point of view, wanawake wanafahamika kwamba wapo weak!. sijakosea, ndio hivyo kwamba wapo weak katika mambo mengi mfano akili, nguvu, n.k

Tukija kwenye Biblical point of view, mwanamke aliumbwa kutoka kwenye ubavu wa Adamu na Mungu alimuumba mwanamke baada ya kuona kwamba Adamu ni mpweke hivyo akamfanyia msaidizi wake. Hii iina maana kwamba mwanamke ni sehemu ya mwanaume na sehemu sidhani kwamba ni sawa na kitu kizima.

Nikiangalia kwa makini katika huo mchakato wao wa kudai haki sawa, naona kwamba hawadai haki sawa ila wanajaribu kuua feminism kwa kuiga mambo wanayofanya wanaume. Ukisoma hesabu utajua kwamba a negative number and positive number cancel each other when they have equal values and a negative number becomes more strong when it is more negative and the same way for a positive number. This means women make men stronger by becoming more weak themselves.

Halafu katika huo mchakato wa kudai haki sawa, mbona hawadai haki sawa ila wanadai kupendelewa????! kwa nini? Mfano wanawake kufaulu kwa asilimia ndogo, kupewa upendeleo vyuoni, makazini, uongozini na sehemu nyingine bila kuwa na sifa thabiti. Je hiyo ni haki sawa???

Siku hizi wametuingilia hadi kukojoa. wanakojoa huku wamesimama?? Makubwa

FuxxaJ2IR2cAAAAASUVORK5CYII=


Si kweli kuwa wanawake ni dhaifu kama unavyofikiri. Zamani nilikuwa na mtazamo huo ila baada ya kukaa na mmoja wao kwa muda sasa nimegundua mtazamo wangu wa awali haukuwa sahihi sana. Kilichopo ni tofauti kubwa kati ya wanaume na wanawake katika kufiriki, kuweka vipaumbele, kutenda kazi, kulea watoto na hasa linapokuja suala la kuwaadabisha, kujieleza, na hata kwenye kufanya yale mambo yetu ya kikubwa. Nadhani waliumbwa hivyo ili tuweze kuwiana kwa sababu "we are almost opposite in every thing that we are doing". Ukifuatilia sana hawa wanaharakati wanaodai haki sawa kwa maana ya kuwa sawa na wanaume na kufanana na wanaume wana matatizo ya kimsingi na wengi wameshindwa kuishi na wanaume kwenye maisha ya ndoa kwa sababu ili muweze kuishi lazima kuwe na hizi tofauti za asili.

Nikija kwenye hoja zako maoni yangu ni kama yafuatavyo:

Akili: siyo kweli kuwa wanawake wana akili kidogo kuliko wanaume labda ueleze una maana gani kuhusu hili. Wanachokosa wanawake ni fursa kama walizokuwa wanapata wanaume kwenye kusoma. Kama umekuwa ukifuatilia kwa karibu matokeo ya form four na six kwa siku za hivi karibuni wasichana wamekuwa wakifanya vizuri na hata kuongoza kwenye mitihani ya kitaifa. Shule za wasichana watupu kama St. Marian, St Francis, Kifungilo, St Maria Goreth zimekuwa zikishika nafasi za kwanza mpaka tatu kitaifa kwa kupokezana utadhani zinashindana kwenye mbio za vijiti.

Nguvu: Ukiongelea nguvu za kunyanyua vitu vizito ni kweli kuwa wanaume tunawazidi nguvu wanawake isipokuwa kwa wale wanawake wachache ambao wanawazidi wanaume nguvu. Ila upungufu wao wa nguvu umemezwa na uwezo wao mkubwa wa kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja na kwa muda mrefu zaidi bila kuchoka wala kukata tamaa. Unaweza kusema kuwa wanawake wako "less powerful but more resilient" kuliko wanaume. Mwanamke anaweza kuwa anapika, anafua nguo, analisha mtoto, anafagia nyumba, anaosha vyombo, anasuka nywele, amebeba mtoto mgongoni na wakati huohuo anapiga soga kuhusu jinsi mke wa jirani alivyovaa vibaya na anaangua vicheko utadhani hana kazi yoyote anayofanya. Na mzee mzima akitokea anahitaji huduma bado muda utatafutwa na atapata huduma kama kawa. Hii kwa kimombo inaitwa "multitasking". Kiukweli mimi siwezi kufanya hayo yote kwa wakati mmoja na huwa nawahusudu kwa uwezo wao huo wa hali ya juu. Na kama nikiyafanya basi sitakuwa nikiongea wala kucheka.

Biblia: haisemi kuwa waliumbwa nusu watu kwa sababu tu walichukuliwa toka kwenye mwili wa binadamu. Ukweli ni kuwa waliumbwa wakiwa watu kamili, wenye akili timamu na utashi wa kuchagua mema na mabaya. Ndio sababu Hawa aliweza kumshawishi husband wake wakala tunda lililokatazwa na huyo mwanamme mzima akakubali kama zoba vile. Kwa taarifa yako huo ushawishi wa akina mama bado uko palepale na ndio maana wakati mwingine ni kazi sana kubishana na mwanamke ndani ya nyumba kwa sababu wana uwezo mkubwa sana wa kuongea.

Kama nilivyokwisha sema awali tatizo kubwa la hawa wanaojiita wanawake wadai haki sawa ni kuwa hawajitambui na hawatambui uwezo walio nao dhidi ya wanaume. Wewe unadhani wale wanaoshawishiwa na kinamama kuwatenga mama, baba, ndugu na hata watoto zao hawana akili timamu? kinachogomba hapo ni "power of a woman". Kinachotakiwa ni mwanamke kujua jinsi ya kuzitumia.

Hili la kutuingilia hadi kukojoa sina comment kwa sababu sijawahi kuingia choo cha wanawake kuangalia wanavyokojoa. Hivyo siwezi kujua kama wengi wao wanakojoa wakiwa wamesimama au wamekaa. Nadhani wenyewe wakija hapa watatufahamisha.
 
Lakini kwa nini dini kama nyingi kama si zote zina mfumo dume? Nimejaribu kufanya kautafiti kadogo na kugundua kwamba viongozi wa juu kabisa katika dini nyingi huwa ni wanaume.

Kwa mfano sijawahi kuona mahala popote pale kama kuliwahi kuwepo na papa wa kike....na hata siku moja sijawahi sikia eti kuna shehe wa kike. Hivi ni kwa nini hii?

Ndo kusema kwamba dini nazo zinashiriki katika kukandamiza jinsia ya kike? Halafu sasa utakuta waumini wengi kweli ni wanawake...

Utafiti wako ulihusisha kanisa la Mch. Lwakatare? Nadhani pale yule mama ndiye mwenye cheo cha juu kabisa
 
Wanawake wameainishwa mata nyingi kama njia ya shetani kupitia wako karibu na shetani kwa ufupi most ya wanawake na shetani ni washikaji long kitambo
Rafiki wa kwanza wa shetani alikuwa mwanamke

Duuh! hizi dini nyingine utata mtupu.
 
Lakini kwa nini dini kama nyingi kama si zote zina mfumo dume? Nimejaribu kufanya kautafiti kadogo na kugundua kwamba viongozi wa juu kabisa katika dini nyingi huwa ni wanaume.<br />
<br />
Kwa mfano sijawahi kuona mahala popote pale kama kuliwahi kuwepo na papa wa kike....na hata siku moja sijawahi sikia eti kuna shehe wa kike. Hivi ni kwa nini hii?<br />
<br />
Ndo kusema kwamba dini nazo zinashiriki katika kukandamiza jinsia ya kike? Halafu sasa utakuta waumini wengi kweli ni wanawake...
<br />
<br />

Naanza kuamini theory ya Dan Brown kuhusu the Da Vinci Code! Wale mitume walimchakachua Maria Magdalena haki yake ya kuongoza kanisa! Pia na theory ya Constantine. Na kwamba vitabu vitakatifu vikachakachuliwa kumfanya mwanamke kiumbe dhaifu. Kwanza mwili wa mwanamke pekee ni powerful weapon ndio maana ikatungwa sheria ya kuufunika. Loads of crap kumkandamiza mwanamke. The only strength men has over women is physical strength only and only that! Na kazi moja tu ambayo wanaume wanaifanya that women don't is infantry combat.
 
Binafsi i love women hasa hasa wale light skinned tena sana tu hawa viumbe bana acha tu....
<br />
<br />

You are weak blackman. Unahusudu uzungu ndio maana una love only light skinned women. Pathetic little man! I can tell you are a tiny short person with short men inferiority complex. Unataka uonekane kupitia material na fake things.
Mwanaume wakweli is sure with himself and loves skin deep.
 
Wanawake wameainishwa mata nyingi kama njia ya shetani kupitia wako karibu na shetani kwa ufupi most ya wanawake na shetani ni washikaji long kitambo<br />
Rafiki wa kwanza wa shetani alikuwa mwanamke
<br />
<br />

Rafiki wa kwanza wa Shetani alikuwa Mungu Baba na malaika wengine hadi pale lucifer alipotofautiana na kufukuzwa.
 
Kwanza ulianza hivi.
Hehehe...hamna cha mpambano wala nini.Ndo nimeshamaliza hapo!
Kisha ukaona aah isiwe tabu ukajibu mapigo hapa.
Nani aliyekuambia kwamba kutafuta haki sawa ni kithibitisho cha kuwa dhaifu?

Wanaotafuta haki sawa wanafanya vile kuondokana na ukandamizaji/mfumo dume kwasababu wanaamini kwamba hata wao ni strong enough kufanya yale ambayo wanaonekana hawawezi e.g kufanya maamuzi binafsi. Sasa kama tafsiri yako ya mtu kuonyesha kwamba hayuko unavyomdhani ni kuwa dhaifu nahitaji darasa la kiswahili.
Halafu

Kama vile haitoshi ukaamua kurudisha vikosi vyote kwenye uwanja wa mapambano lol.
Hivi wewe unaelewa maana ya haki sawa?!Je tofauti kati ya HAKI SAWA na USAWA?!

Nna imani kwamba ungekua unajua hicho ulichoongea hapo juu ungekiona hakina mshiko!!Na kuhusu kulinganisha upendeleo na usawa kunatoka wapi?! Ina maana mwanamke akiomba kazi kwenyr construction site nae abebe zege kwasababu uwezo huo anao atakua anaomba upendeleo?! Akitaka awe anafanya maamuzi muhimu yanayomhusu mwenyewe anaomba upendeleo?! Akitaka kuwa rais akagombea kama wengine na kushinda kihalali anakua amependelewa?!

Jaribu tena maana mpaka ulipofikia sijaona ukithibitisha madai yako!

Hehehehe nilijua huwezi kuacha ipite hii. haya mpambano unaendelea lol.
 
<br />
<br />

Naanza kuamini theory ya Dan Brown kuhusu the Da Vinci Code! Wale mitume walimchakachua Maria Magdalena haki yake ya kuongoza kanisa! Pia na theory ya Constantine. Na kwamba vitabu vitakatifu vikachakachuliwa kumfanya mwanamke kiumbe dhaifu. Kwanza mwili wa mwanamke pekee ni powerful weapon ndio maana ikatungwa sheria ya kuufunika. Loads of crap kumkandamiza mwanamke. The only strength men has over women is physical strength only and only that! Na kazi moja tu ambayo wanaume wanaifanya that women don't is infantry combat.
Huoni kwamba kama tukikubaliana na hiyo thiori hapo kwenye nyekundu, tutakuwa tunatilia nguvu hoja ya kuwa wanawake ni viumbe dhaifu. Nasema hivi kwa sababu kama wanawake wangekuwa ni viumbe wenye nguvu kiasi cha kutosha basi isingewezekana waruhusu wanaume kuchakachua wakati wao wakiangalia tu bila kufanya chochote.

Kiujumla kukubaliana na mawazo (conspiracy theories) kuwa wanaume walitengeneza mfumo ambao unamwangalia mwanamke kama kiumbe dhaifu ni sawa na kukubali kuwa ni kweli wanawake ni viumbe dhaifu, vinginevyo wanaume wasingefanikiwa katika njama zao kama wangepambana na viumbe vyenye nguvu.

nitarudi baadaye kidogo.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Naanza kuamini theory ya Dan Brown kuhusu the Da Vinci Code! Wale mitume walimchakachua Maria Magdalena haki yake ya kuongoza kanisa! Pia na theory ya Constantine. Na kwamba vitabu vitakatifu vikachakachuliwa kumfanya mwanamke kiumbe dhaifu. Kwanza mwili wa mwanamke pekee ni powerful weapon ndio maana ikatungwa sheria ya kuufunika. Loads of crap kumkandamiza mwanamke. The only strength men has over women is physical strength only and only that! Na kazi moja tu ambayo wanaume wanaifanya that women don't is infantry combat.
<br />
<br />
Hizo theories sio za kitafiti they are just utopia. Maandiko matakatifu hayajachakachuliwa, kwa sababu archaeological findings zimeonesha scroll za zamani zaidi hata hawa mitume zikiwa sawa na maandiko ya leo. Do you get a concept, please?
 
Huoni kwamba kama tukikubaliana na hiyo thiori hapo kwenye nyekundu, tutakuwa tunatilia nguvu hoja ya kuwa wanawake ni viumbe dhaifu. Nasema hivi kwa sababu kama wanawake wangekuwa ni viumbe wenye nguvu kiasi cha kutosha basi isingewezekana waruhusu wanaume kuchakachua wakati wao wakiangalia tu bila kufanya chochote. <br />
<br />
Kiujumla kukubaliana na mawazo (conspiracy theories) kuwa wanaume walitengeneza mfumo ambao unamwangalia mwanamke kama kiumbe dhaifu ni sawa na kukubali kuwa ni kweli wanawake ni viumbe dhaifu, vinginevyo wanaume wasingefanikiwa katika njama zao kama wangepambana na viumbe vyenye nguvu. <br />
<br />
nitarudi baadaye kidogo.
<br />
<br />

Kumbuka wanaume wana nguvu moja tu kuzidi wanawake: physical strength. They obviously used force. Walikuwa wanawatandika.
 
Mungu mwenyewe mwanaume sasa unategemea nini....
<br />
<br />
Hivi Mungu ni mwanaume! Ninacho fahamu ni kwamba Mungu ni Baba yetu wa mbinguni, tena Mungu ni Roho nao wamwabuduo watakiwa kumwabudu katika roho na kweli. Wasimwabudu kwa nje yaani kwa kuvaa misalaba, kanzu, balkashia, tai, kubadili ratiba ya kula, n.k.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hizo theories sio za kitafiti they are just utopia. Maandiko matakatifu hayajachakachuliwa, kwa sababu archaeological findings zimeonesha scroll za zamani zaidi hata hawa mitume zikiwa sawa na maandiko ya leo. Do you get a concept, please?
<br />
<br />

Time will tell!
But remember the women who kicked men asses in history, from Cleopatra, to Sheba, Magreth Thatcher, Golda Meir (not sure of spelling but the Israel PM in the 70s), Indra Gandhi hadi to our sister Sirleaf wa Liberia.

Ukitaka kujua nguvu za wanaume zinatumikaje, angalia DR Congo.
Kazi yao kubaka baka tu wanawake ili wazidi kuwakandamiza.
Tena wanaume ndio chanzo cha umasikini mkubwa Tanzania na Africa. Wanaachia majukumu yote ya kulea jamii kwa kina mama. Hawausiki kufuatilia mtoto anaendeleaje shuleni na shule ipi aende ili afaulu vizuri ila kazi ni kazalisha tuu multiple women na kuwatekeleza.
Weakness kubwa ya wanaume ni ubinafsi.
Wanaume wengi wa Kitanzania wakipanda cheo au kuongezwa mshahara au kuuza mavuno zaidi wanafanya nini??? Look around!

Wanawake wakipata hiyo nafasi, wanaendeleza familia zao.
 
Kwanza ulianza hivi.

Kisha ukaona aah isiwe tabu ukajibu mapigo hapa.

Halafu

Kama vile haitoshi ukaamua kurudisha vikosi vyote kwenye uwanja wa mapambano lol.

Hehehehe nilijua huwezi kuacha ipite hii. haya mpambano unaendelea lol.

Hahahaha...nililazimika!
 
<br />
<br />

Time will tell!
But remember the women who kicked men asses in history, from Cleopatra, to Sheba, Magreth Thatcher, Golda Meir (not sure of spelling but the Israel PM in the 70s), Indra Gandhi hadi to our sister Sirleaf wa Liberia.

Ukitaka kujua nguvu za wanaume zinatumikaje, angalia DR Congo.
Kazi yao kubaka baka tu wanawake ili wazidi kuwakandamiza.
Tena wanaume ndio chanzo cha umasikini mkubwa Tanzania na Africa. Wanaachia majukumu yote ya kulea jamii kwa kina mama. Hawausiki kufuatilia mtoto anaendeleaje shuleni na shule ipi aende ili afaulu vizuri ila kazi ni kazalisha tuu multiple women na kuwatekeleza.
Weakness kubwa ya wanaume ni ubinafsi.
Wanaume wengi wa Kitanzania wakipanda cheo au kuongezwa mshahara au kuuza mavuno zaidi wanafanya nini??? Look around!

Wanawake wakipata hiyo nafasi, wanaendeleza familia zao.
You sound as if you have a grudge against men lol.
 
Back
Top Bottom