Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,446
- 829,812
Wewe ni handsome?
Okay....
Nakutafuta sanaNgoja niombe ruhusa kwa mr kwanza
Wewe ni handsome?
Okay....
Nakutafuta sanaNgoja niombe ruhusa kwa mr kwanza
Mweeh basi banasasa wewe ulifikili ni maigizo au ngonjera unavushwa unapelekwa mafichoni unapewa laha zako mpaka unamtukana mista wako mpaka unafika kilele na hiyo ni tafasili ya kuchepuka na ukirudi nyimbani unamwambia bebi kichwa kinauma si tayali umeshiba
UmenipataNakutafuta sana
Kesho angalia salio kisha nipeage mrejeshoUmenipata
Ndo naendayani huzitaki mbichi hizo haya nenda kwa mshana akukupige juju ili afunye kweli kisamaki
acha zakooo banaNaona unaenda mbali sasa...naomba staha iwepo
Naona unaenda mbali sasa...naomba staha iwepo
naogopa bibilia sio uchawiNaona unaenda mbali sasa...naomba staha iwepo
Tatizo linakuja pale uhandsome wenyewe ni ule wa kujiaminisha mwenyewe + camera 360 when in reality sura kama Bambo. Unajikuta kila siku unazunguka mlimani city mpaka walinzi wanadhani ni mwenzao napo mfukoni hakuna hela.Hili nalo la kuuliza ndugu? Endelea kwenda mliman city kuuza sura na kiheineken cha masaa mawili
Ha ha haaahhHivi wanaume wa Dar mbona mnatuandama hivyo wakati sisi wengine tumeoa wa mikoani.
We unanionaje!! ??Wewe ni handsome?
Mbona wanabisha sasasa ukiwa hensam pesa za nini, wanakuhonga tu.
hii ni social network everybody is acting strong, people are fake, hata mtoto wa O-level akikutikisa unaweza kuwa mpole simply bcoz humjui.. kuna THE MASK wengi humu.Mbona wanabisha sasa
Mi sioniWe unanionaje!! ??
Daahh Bambo wa watu!!.Tatizo linakuja pale uhandsome wenyewe ni ule wa kujiaminisha mwenyewe + camera 360 when in reality sura kama Bambo. Unajikuta kila siku unazunguka mlimani city mpaka walinzi wanadhani ni mwenzao napo mfukoni hakuna hela.
Sura hata mbuzi anayo mtoto wa kiume kuanza kuhoji uzuri wa sura mbele ya pesa ni dalili mbaya.