Wolper afungukia skendo ya ushoga ya bwana'ke

Mhenga aliye sema kula na kuliwa nisawa tu , mhenga uyo ni mzaliwa wa dar .

Post sent using JamiiForums mobile app
 
110592be2bef9749c5fccc3d4b4297c7.jpg


59f83bad03090dd4ec74a89f7d2c7ac5.jpg


768320435630b245622a4bf93bd49f51.jpg


Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Ukiangalia hiyo pic kwenye shuka kuna kama maandishi .......lodge sasa mitindo gani inafanyika lodge na hakuna mitindo ya picha rahisi kama hizo za phone capture

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Tunajua wolper hawezi kumuacha huyo bwana ake, ila tunajua huyo bwana atamuacha wolper, maana wolper amekuwa kama mfereji wa kupitisha maji kwenda baharini, wanaume wanapita tu wanaenda ktulia pengine...ajitafakari umri alionao sio wa kufanya ujinga huu.
 
Watu mnatoka mikoani mnakuja dar hamna kazi mnafikiri pesa zinaokotwa tu, halafu mnafanya ujinga then mnasingizia wanaume wa dar acheni ushenzi.


Tunakuja Dar kufunga mali za mamilioni/bilioni.....hatutaki ujinga sie, hapa kazi tu upashukuna ni Dar peke yake. Tunawashangaa vijana tata wa Dar kila tukijaga huko. Utashangaa mtu unakwenda kufunga mali Dar unakutana na vijana tata waliovaa heleni, kutoboa pua, na kupaka lipstick huku wakiimba bongo fleva.
 
Humo vifuwani wanawekaga nini hawa watu hadi panatuna kiasi hiko?hilo moja hapo kono msuli huo ila chapati ya maji kuikata haliwezi na mende linaogopa kama toto la kike.ndio maana hata maisha yanazidi kuwa magumu,Mungu hawezi kutupa mema hali tukimrudishia mabaya kama haya.

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app


wakitoka hapo ni bongo fleva mtindo mmoja huku wakibana pua.
 
Wanaume wa dar kazi mnayo, Mimi vigumu sana kutofautisha mwanaume wa dar na mwanamke wa Dar.
Wote wanajiremba as if wote ni wanawake, wote wanapenda chips mayai, wote wanapenda kuvaa nguo za kubana.
Wanaume wa dar badilikeni jamani
Weeeeeee uwe na adabu wengene wanaume hao hao wa dar ndo wanawalisha wa mikoan na kuwaolea dada zenu
 
Back
Top Bottom