Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
- Thread starter
- #21
Clinton katoa pesa za kujenga wodi za kina mama, jamaa wamekula mpaka Clinton kasusa. Na hapo Sewa Haji usiku usiombe maana madirisha hayana nyavu au zimeharibika sasa ile mipaka shume ndio huwa inarandaranda na kuiba vyakula. yaani mgionjwa afadhali atibiwe nyumbani tu maana akiwa hapo kuna possibilities kuwa anaweza akapata magonjwa mengine! absolutely pitty!
Sasa nani wakuokoa hili jahazi.
Wapenda sifa tunawasikia makanisani wakikusanya michnago na harambee mbona awaendi muhimbili.?