Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Nimesikiliza redioni na kusoma katika magazeti utambulisho wa magari (identification ante) ya viongozi wetu ambazo zinatumia
herufi, waandishi wakiandika kwamba kuwa hiyo ni namba ambapo hakuna tarakimu yo yote.
Hebu soma: ".............. ameiambia mahakama hiyo kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo wakati Waziri Nahodha akiwa ndani ya gari yenye namba WMN alipokuwa katika ziara Mkoani Mbeya ....." Je, gari ikiwa na JM (Jaji Mkuu), JK (Jaji Kiongozi) au S (Spika).
Kwa mawazo yangu namba inatafsirika kama tarakimu.
herufi, waandishi wakiandika kwamba kuwa hiyo ni namba ambapo hakuna tarakimu yo yote.
Hebu soma: ".............. ameiambia mahakama hiyo kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo wakati Waziri Nahodha akiwa ndani ya gari yenye namba WMN alipokuwa katika ziara Mkoani Mbeya ....." Je, gari ikiwa na JM (Jaji Mkuu), JK (Jaji Kiongozi) au S (Spika).
Kwa mawazo yangu namba inatafsirika kama tarakimu.