mjeuri wa africa anakuja tz nasikia jamaa alikataa kupiga pic na daimond kwenye mtv awards jeuri sana yule dogo
uongo wako ni wakimataifaAcha uongo ww wiz kid hawezi kumchomolea diamond picha n yeye alienda kwny tuzo ucku tu n alimpa dai muliko wa white party yke sema mond alikuwa anatakiwa arudi bongo haraka akafanye show
kedrick humjui wizkid vizuri wewe kumbe yule jamaa hapendi misifa ya kijinga na shobo na hafanyi collabo kijinga jinga achana na wizkid kabisaDavido alisema collabo yao inatoka mwezi wa 8 ngoja tuckilizie
Mbona kafanya na waganda Radio na Wizo?kedrick humjui wizkid vizuri wewe kumbe yule jamaa hapendi misifa ya kijinga na shobo na hafanyi collabo kijinga jinga achana na wizkid kabisa
mkuu wiz ni hatari best male wa africa analilia collabo kwa wiz sasa hapo angekuwa jamaa fulani ndo anafanyiwa hivyo pasingekalika mjiniHiyo collabo davido Ndio mwenye uhitaji zaidi
mmmh sio kwa wizzy dadaangu, anajiamini balaa huyo jamaa, na hizo KiKi wanazompa wamarekani
kina chrisbrown drake aliciakeys ndo wanampa jeuriNimeona mkuu ila huyo wizkd mi namwona mbabaishaj tuu, ingawa anajua mzik
zile tuzo zenyewe za kijinga sana watu waliiponda video bora ya mwaka nyimbo bora alistahili wizi sema hakuomba kura ni kama kawadharau hivi ila wiz anajuawizz kid anajiamini sana, kwenye Instagram hana picha ya ya kuhamasisha watu wampigie kula kwenye zile tuzo za MTV.
sasa si na yeye wiz yupo au kwa hiyo kama wiz kamfollow daimond ndo anataka collabo wiz hawezi fanya collabo na daimondHaaah sasa urafiki wao umekujaje me cjamuona wiz kid kamfollow kiba halafu jua wimbo wa crazy haukuwa wa wiz kid ulikuwa wa shey ft wiz kid
sasa kama davido kachomolewa itakua yeye daimond au coz uliiona ile pic ya SALAAM sk na wiz manager ndo mana unasema hivyoAcha uongo ww wiz kid hawezi kumchomolea diamond picha n yeye alienda kwny tuzo ucku tu n alimpa dai muliko wa white party yke sema mond alikuwa anatakiwa arudi bongo haraka akafanye show
zile tuzo zenyewe za kijinga sana watu waliiponda video bora ya mwaka nyimbo bora alistahili wizi sema hakuomba kura ni kama kawadharau hivi ila wiz anajua