Wimbi la wizi wa TV FLAT SCREEN TU LMV umeshamiri sana. Kuanzia Tabata, Kinyerezi, mitaa yote ya Mbezi Louis hadi Salasala na Bunju. Wajuaji hawa wanakata grill za dirisha kuingia na kuiba. Pamoja na mikakati ya kiulinzi ambayo tunafanya naomba POLISI kwa umoja wao wachunguze hili SOKO kubwa hivi la TVs ni wapi sababu mfano jana tu nyumba 6 zimeibiwa. Wengine ambao haijawafika tujilinde na mali zetu jamani.