Wizi wa pesa za katiba mpya ni zaidi ya epa....mungu akawalaani wote waliohusika na ufujaji huu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,153
Pengine watanzania tumekuwa wajinga wa kusikia na kukaa kimya

lakini wachngaji nao na mashehe wamekuwa wakiendekeza hizi shida na sasa

waumini wameamua kusali na kumwomba mungu ...kuna madhara kadhaa ya wizi yanaendelea serikalini

watu wamekaa kimya ...wapi wezi wa epa..wapi wezi wa ec.....sasa wizi wa kimacho macho wa kutangaza

kuleta katiba mpya na kutumia mabilioni ya pesa za wananchi na zingine zikipita mgongo wa nyuma

nasema hiviiiiiii mungu alie hai wanamaombi msikae kimya hivi mungu ataadhibu watoto wenu na sasa

tunamwomba mungu wa mbinguni

kulaani na kuadhibu wote waliohusika kuunda bunge la katiba wakijua akuna kitakachofanyika ...napenda kuwambia wazi watanzania kama umekuwa ukimsikiliza warioba na wenzake na ule uhuni na usaniii uliokuwa ukifanyika bungeni utajua mambo mawili ya kishenzi

1...hii rasimu aikupelekwa moja kwa moja bungeni ilipitishwa sehemu watu wakaisoma na kuihakikiiki

2..wakati wakijua swala hili linaitaji umoja wa wabunge watu wakaunda kabunge chao na kuanza kuuwaweka watu kwenye list zao ili waweze kuchota pesa za watanzania

3..bunge limechafuka na ukawa wamekimbia zaidi ya mwezi na kama kulikuwa na uwezekano wa kutoendelea kwa nini wameendela na upumbavu kule bungeni wakijitahd kusainishana pesa za walipa kodi??kama mlijua mtapata katiba baada ya 2016 watu walipekwa kufanya ninii kule bungeni

mangapi yametokea kuainisha akuna uwezekano wa kuwepo katiba mpya bila ukawa
wanasheria wangapi wameweka wazi jamanii eeh bila uwiano kadhaa akuna katiba mpya wiiiziii tu usio natija

4..nasema hivi mungu wetu atowaacha kamwe wote waliohusika na utapeli huu wa mabillioni ya fedha za watanzania na mungu akituweka hai mtaona jambo kabla ya 2015

kila la kheri
 
Mpwa Laana zilishawafikia tangu pale mkuu wa kaya alipolizindua bunge la Katiba kuhalalisha utafunaji wa kodi za Watz.
 
haha we kijana unasemaje? embu tuache tule mema ya nchi . kwakuwa serikali na chama chetu sikivu vinajali sana wananchi. haha ciciyemu woyeeee.
watanzania cc ni wajinga mno kwakweli.
 
Pengine watanzania tumekuwa wajinga wa kusikia na kukaa kimya

lakini wachngaji nao na mashehe wamekuwa wakiendekeza hizi shida na sasa

waumini wameamua kusali na kumwomba mungu ...kuna madhara kadhaa ya wizi yanaendelea serikalini

watu wamekaa kimya ...wapi wezi wa epa..wapi wezi wa ec.....sasa wizi wa kimacho macho wa kutangaza

kuleta katiba mpya na kutumia mabilioni ya pesa za wananchi na zingine zikipita mgongo wa nyuma

nasema hiviiiiiii mungu alie hai wanamaombi msikae kimya hivi mungu ataadhibu watoto wenu na sasa

tunamwomba mungu wa mbinguni

kulaani na kuadhibu wote waliohusika kuunda bunge la katiba wakijua akuna kitakachofanyika ...napenda kuwambia wazi watanzania kama umekuwa ukimsikiliza warioba na wenzake na ule uhuni na usaniii uliokuwa ukifanyika bungeni utajua mambo mawili ya kishenzi

1...hii rasimu aikupelekwa moja kwa moja bungeni ilipitishwa sehemu watu wakaisoma na kuihakikiiki

2..wakati wakijua swala hili linaitaji umoja wa wabunge watu wakaunda kabunge chao na kuanza kuuwaweka watu kwenye list zao ili waweze kuchota pesa za watanzania

3..bunge limechafuka na ukawa wamekimbia zaidi ya mwezi na kama kulikuwa na uwezekano wa kutoendelea kwa nini wameendela na upumbavu kule bungeni wakijitahd kusainishana pesa za walipa kodi??kama mlijua mtapata katiba baada ya 2016 watu walipekwa kufanya ninii kule bungeni

mangapi yametokea kuainisha akuna uwezekano wa kuwepo katiba mpya bila ukawa
wanasheria wangapi wameweka wazi jamanii eeh bila uwiano kadhaa akuna katiba mpya wiiiziii tu usio natija

4..nasema hivi mungu wetu atowaacha kamwe wote waliohusika na utapeli huu wa mabillioni ya fedha za watanzania na mungu akituweka hai mtaona jambo kabla ya 2015

kila la kheri

Nabado wataendelea kuchota bilioni kadhaa pamoja na kuwa imekudhahiri kuwa Katiba mpya ni ndoto kabla ya 2015.Nalaani hiYO ianze kufanya kazi KWA MWENYEKITI WA BMK.Maana haiwezekani watoto na mama zetu wakosa madawa hos[pitalini alafu watu wazima wanachukua 300,000tsh kwa siku.
Eti na wengine wachungaji na masheikh!

Wale wa Lumumba watakuja na kejeli ya Dua za Kuku haimpati mwewe.

 
Mkuu sauti ya watu sauti ya mungu

kama jf tulivyolia na ndoa za ajira za uhamiaji na maombi ya nguvu watu wanaaibika sasa \
babazao wanawazaa kurudisha pesa za watu

nakwambia kabla ya 2015 utakuwa shahidi maumivu watakayopata alihusika na bunge hilii aliesimamia

aliefungua usiniulize alielifunga naasema wote mungu anakwenda kuwaadhibuu

laana hii ikawapate wote wakiwemo watakaodhihaki wizi huu humu ndanai na wote tuseme \\

amen
 
Mkuu sauti ya watu sauti ya mungu

kama jf tulivyolia na ndoa za ajira za uhamiaji na maombi ya nguvu watu wanaaibika sasa \
babazao wanawazaa kurudisha pesa za watu

nakwambia kabla ya 2015 utakuwa shahidi maumivu watakayopata alihusika na bunge hilii aliesimamia

aliefungua usiniulize alielifunga naasema wote mungu anakwenda kuwaadhibuu

laana hii ikawapate wote wakiwemo watakaodhihaki wizi huu humu ndanai na wote tuseme \\

amen

Ameen na maombi haya yatengemee.
 
Kiukweli kabisa hawa jamaa ilibidi wawepo mule kwenye zile ndege mbili za malaysia.. Ingekuwa afadhali mno..
 
Kama ni kuchomwa moto na wachomwe! Wamekosa busara ya kawaida yani ukawa waje kwetu ili tuwape njia namna ya kufanya tukawashughulikie hawa mafisadi.
 
Watanzania wenzangu, naomba kama tumeshafika mahali pa kumwita Mungu wetu, tupunguze Munkariiii. Hasira kamwe haijengi bali inabomoa.
Tunajua wazi kabisa kabisa bila shako lolote kuwa, BMK kilikuwa kijiwe cha kuvutia kodi za wananchi bila hofu. Tangu mwanzo ccm haikuwa na haja ya katiba mpya, Waziri wa sheria alikataa kuwa hatuna haja, AG naye akamuunga mkono kuwa hatuhitaji katiba mpya, ndipo wazo likatokea la namna ya kugawana kodi za waji.ngaaa.
Hatusemi nini wala nini, huenda wakaona aibu wakazirudisha kama zile za EPA. Wakuu wetu huwa hawapendi fedha ya aibu. Haswa M/Kiti wa hilo BMK hatakubali kuchafuka leo. Atawaamuru wazirudishe. Tumwombe Mungu awape mshipa wa aibu na soni wazirudishe.
Si wanawaona watoto wetu wanavyokaa chini, si wanaona shule zetu za kata hazina maabara huku wanakijiji wakikamatwa na kuwekwa lupango kwa kukosa mchango wa kujenga hizo maabara??
HAPANA, HAPANA. Wataona aibu wazirudishe hata kwa kujifanya wanachangia elimu hii ilio ICU. Naogopa kuwaza zaidi nsijeshikwa kichaaaaaa
 
Back
Top Bottom