Wizi wa mume/mke

Wizi wa mume/mke

FAIRATTORNEY

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
219
Reaction score
61
Huwa napandwa na hasira nikisikia eti fulani kaiba mume/mke wa fulani. Unakuta kama ni bibie anakusanya shoga zake kadhaa waenda kufumania na kwenda kumtia adabu vilivyo "mwizi" huyo.

Kama ni mwanaume na yeye akusanya mabest zake kadhaa mabaunsa kwenda kumtia adabu mwizi huyo na ikibidi kumfanza yale ambayo kwa asili ya maumbile ni mwanaume pekee anatakiwa amfanze mwanamke.

Hivi jamani jitu zima kabisa linaendesha na familia, linaijua na njia ya chooni, halivalishwi nguo na elimu linayo eti leo hii linaibiwa, amekuwa kuku au roba la pumba kwamba lilikutwa tu somewhere limekaa kihasara hasara likwapuliwa.

Tubadili kauli hizi na tuanze kusema mke/mume wa fulani kafanya uzinzi sio kaibiwa, kaibiwa wapi wakati yeye ndio katongoza au katongozwa hadi kakubali?
 
Huo ni upuuzi hakuna kuibia mke au mme, kama ni hivyo angeripoti kubakwa. Hii ni starehe wamepeana kwa kuridhiana, ukiweza deal na huyo mtu wako maana it takes two to tango. Ubebe mastress kwa mtu mwingine na unae wa kudeal nae, ukishafika kiwango hicho....dont push too much ni bora kusepa zako.

Huu ni ujinga ulioje
 
Kama yule mwehu wa Arusha aliemnyoa mwenzie nywele. Najiuliza mumewe ni zuzu?


Huyo ukimtia adabu anaachana mumeo, mume anaenda kutongoza mwingine, nae utamtia adabu?
Sasa utadeal na wangapi??

Mijanaume yenyewe hii unalipigania,kesho unalikuta front page kwa Shigongo kafumaniwa.

Akuuu... nampenda hubby wangu, nitadeal nae yeye tu sina muda na machangu.
 
Na sahivi adhabu ni kali mweh!!!!
mwanaume akifumwa analiwa, mwanamke akifumwa anakalia chupa.....
 
Kama yule mwehu wa Arusha aliemnyoa mwenzie nywele. Najiuliza mumewe ni zuzu?


Huyo ukimtia adabu anaachana mumeo, mume anaenda kutongoza mwingine, nae utamtia adabu?
Sasa utadeal na wangapi??

Mijanaume yenyewe hii unalipigania,kesho unalikuta front page kwa Shigongo kafumaniwa.

Akuuu... nampenda hubby wangu, nitadeal nae yeye tu sina muda na machangu.

Men with their ego, ukimfatilia 'the other woman' ndo kwanza unampa nafasi ya kujiona Kujiona KIDUME CHA PAA, mpe huyo bwana za uso if he's willing to change he will change, kuna mtu alirudi kwake bila boxer kaisahau alikotoka,

hakuweza hata kuficha maning'ino yalivokuwa yanarukaruka ndani ya suruali kuulizwa, kashindwa kujibu na mke alichofanya hakuongea sana na akaenda nunua boxer nyingi akampa na kumwambia akaziache alikoacha nyingine ili next time asisahau tena akatembea uchi, si vizuri kwa baba na familia, mwenyewewe alitia akili,...zaidi sana better to deal with his cheating @$$
 
Wameridhiana,na wala sio ustarabu kwa mme/mke kwenda kusutana au kugombana na mtu kisa umeiibiwa mie mtu kama huyo namuona kama hafikirii,ivi unakwenda kumsuta mwanamke mwenzio KOMA KUCHUKUA WAUME ZA WATU! Khaaa!
kwanza jiulize wewe kama mwanamme kimepungua nini mpaka mumeo akaenda kwa mwenzio usikurupuke tuu,na mwanamme pia unakodisha watu naenda kumfanyiazia mara nambaka sijui namfanyaje jiulize je UNATIMIZA MAJUKUMU YAKO KAMA MWANAMME AU NDIO NYIE MNASEMA UNAULIZWA MKEO KA VAA NINI NDIO MPANGO MZIMA....
 
Wameridhiana,na wala sio ustarabu kwa mme/mke kwenda kusutana au kugombana na mtu kisa umeiibiwa mie mtu kama huyo namuona kama hafikirii,ivi unakwenda kumsuta mwanamke mwenzio KOMA KUCHUKUA WAUME ZA WATU! Khaaa!
kwanza jiulize wewe kama mwanamme kimepungua nini mpaka mumeo akaenda kwa mwenzio usikurupuke tuu,na mwanamme pia unakodisha watu naenda kumfanyiazia mara nambaka sijui namfanyaje jiulize je UNATIMIZA MAJUKUMU YAKO KAMA MWANAMME AU NDIO NYIE MNASEMA UNAULIZWA MKEO KA VAA NINI NDIO MPANGO MZIMA....

Hilo nalo NEno shostito...👍
 
Hakuna kuiba wala kuibiwa wahusika hujitembeza mume au mke hawezi kuibiwa kama Wallet
 
Huwa napandwa
na hasira nikisikia eti fulani kaiba mume/mke wa fulani. Unakuta kama
ni bibie anakusanya shoga zake kadhaa waenda kufumania na kwenda kumtia
adabu vilivyo "mwizi" huyo.

Kama ni mwanaume na yeye akusanya mabest zake kadhaa mabaunsa kwenda
kumtia adabu mwizi huyo na ikibidi kumfanza yale ambayo kwa asili ya
maumbile ni mwanaume pekee anatakiwa amfanze mwanamke.

Hivi jamani jitu zima kabisa linaendesha na familia, linaijua na njia ya
chooni, halivalishwi nguo na elimu linayo eti leo hii linaibiwa,
amekuwa kuku au roba la pumba kwamba lilikutwa tu somewhere limekaa
kihasara hasara likwapuliwa.

Tubadili kauli hizi na tuanze kusema mke/mume wa fulani kafanya uzinzi
sio kaibiwa, kaibiwa wapi wakati yeye ndio katongoza au katongozwa hadi
kakubali?

baeleze hasa wanawake ndo sana eti kaniibia mume kwan alikuwa ametupwa wap?
 
Back
Top Bottom