OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,882
Habari wakuu,
Kuna wizi wa kimtandao unafanywa na watu wenye nia ya kutapeli watu.
Leo nimepigiwa simu na mtu mwenye namba hizo hapo juu, bahati nzuri sikuwa namsikia vizuri nikamwambia atume ujumbe wa maneno (sms),
Nilipo usoma huo ujumbe , machale yakanicheza, nikastuka kuwa anataka kuniibia .
Wakuu kuweni makini.
Kuna wizi wa kimtandao unafanywa na watu wenye nia ya kutapeli watu.
Leo nimepigiwa simu na mtu mwenye namba hizo hapo juu, bahati nzuri sikuwa namsikia vizuri nikamwambia atume ujumbe wa maneno (sms),
Nilipo usoma huo ujumbe , machale yakanicheza, nikastuka kuwa anataka kuniibia .
Wakuu kuweni makini.


