Wizi huu umekithiri katika mitaa ya Upanga na inahatarisha magari na usalama wa watu.
Jiji na manispaa husika pamoja na polisi hebu kemeeni wizi huu.
Mojawapo ya tetesi ni kuwa kuna wakubwa wanavizia tenda ya kurudishia mifuniko hiyo na ndio wafadhili wa wizi huu.
Jiji na manispaa husika pamoja na polisi hebu kemeeni wizi huu.
Mojawapo ya tetesi ni kuwa kuna wakubwa wanavizia tenda ya kurudishia mifuniko hiyo na ndio wafadhili wa wizi huu.