Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,782
- 21,008
I salute you all in God's name.
Mimi si mgeni Jf bali ni mgeni kwa kuandika post as in this is my first post. I have always been a guest.
Kilichopelekea kuandika kwangu uzi huu ni wizi uliokithiri kwenye vituo vya mafuta kutoka kwa wahudumu wake. Hili jambo nimeliona kwa macho yangu kwenye Petrol Station zaidi ya tano.
Kumekuwa na mchezo wa Attendants wa Petrol Station kutozima pump baada ya kutia mafuta kwenye gari ama piki piki ambapo baada ya hapo gari itakayofuata pump haitoanzia zero bali kiasi kile kilichowekwa kwenye chombo cha kabla.
Kama gari ya mwanzo iliweka 5000 na pump haijazimwa na gari inayofuata ikataka 20000 inamaanisha ni 15000 tu ndo itakayowekwa.
Na hili jambo nahisi linajulikana hata na wamiliki maana kuna Petrol Station moja niligombana na muhudumu baada ya kuanzia 3000 na nikahitaji kuongea na meneja lakini cha ajabu meneja hakutoa ushirikiano uliotakikana.
To cut the story short, kuna haja ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuliangalia hili swala kwa makini maana leo kuna mtu kama mimi nalijua hivyo nakua makini nikiwekewa mafuta ila kuna wale wasiofahamu ambao kila siku wanalizwa.
Mafuta bei ghali na wengi wa watu wanatembelea magari kwa kuhesabu mileage kulingana na mafuta yaliyowekwa sasa haiwi haki kwa watumiaji.
Mimi si mgeni Jf bali ni mgeni kwa kuandika post as in this is my first post. I have always been a guest.
Kilichopelekea kuandika kwangu uzi huu ni wizi uliokithiri kwenye vituo vya mafuta kutoka kwa wahudumu wake. Hili jambo nimeliona kwa macho yangu kwenye Petrol Station zaidi ya tano.
Kumekuwa na mchezo wa Attendants wa Petrol Station kutozima pump baada ya kutia mafuta kwenye gari ama piki piki ambapo baada ya hapo gari itakayofuata pump haitoanzia zero bali kiasi kile kilichowekwa kwenye chombo cha kabla.
Kama gari ya mwanzo iliweka 5000 na pump haijazimwa na gari inayofuata ikataka 20000 inamaanisha ni 15000 tu ndo itakayowekwa.
Na hili jambo nahisi linajulikana hata na wamiliki maana kuna Petrol Station moja niligombana na muhudumu baada ya kuanzia 3000 na nikahitaji kuongea na meneja lakini cha ajabu meneja hakutoa ushirikiano uliotakikana.
To cut the story short, kuna haja ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuliangalia hili swala kwa makini maana leo kuna mtu kama mimi nalijua hivyo nakua makini nikiwekewa mafuta ila kuna wale wasiofahamu ambao kila siku wanalizwa.
Mafuta bei ghali na wengi wa watu wanatembelea magari kwa kuhesabu mileage kulingana na mafuta yaliyowekwa sasa haiwi haki kwa watumiaji.