Wizi wa mafuta Petrol Stations

Wizi wa mafuta Petrol Stations

Boko magengeni hiyo petrol station nayo ni shida nimewahama rasmi na nina wasiwasi hata mmiliki wake anajua michezo ya wafanyakazi wake.
 
Bora yakupunjwa kuliko wanayochakachua.....filling stations karibu zote zakuanzia kimara mwisho mpaka mlandizi wanachakachua baraa kuweni makini......
 
Haaa hii oilcom ya opposite na uchumi Segerea ni komesha. Gari yangu full tank ni elfu 60 niliwapa 40,wakaanzia 0.0 but huwez amini mshale haukupanda ukaishia robo tank. Normally huwa naweka lake oil sanene ya elfu 30 mshale unapanda had nusu tank!! Yaan hawa oil com wanamchezo mchafu na sirudi pale napaona km police station


Hawa walishaniibia siku moja ila nilikuwa nawahi kanisani nikaachana nao.....niliapa tu kutojaza mafuta kwenye shell zao popote nitakapokutana nazo.
 
Kidumu ndo solution waambie naenda mbali haya ya ziada porini,km ni wezi hawakubali vidumu,pia jazeni vituo ambavo upendwa na daladala ukiona shell daladala au mabasi ya mikoani zinajaa jua hakuna wizi sababu wao wanajua shell zenye wizi zote
 
Back
Top Bottom