Fernandes Rodri
JF-Expert Member
- Apr 11, 2009
- 520
- 243
Jamani muwe waangalifu na kituo cha mafuta oilcom vetenari wanaiba mafuta jana nimeibiwa mafuta au muwe munahakikisha bila ya hivyo mutaibiwa
"munahakikisha.... " "mutaibiwa...."Jamani muwe waangalifu na kituo cha mafuta oilcom vetenari wanaiba mafuta jana nimeibiwa mafuta au muwe munahakikisha bila ya hivyo mutaibiwa
"munahakikisha.... " "mutaibiwa...."
Sasa tutajihadhari vipi wakati hujaeleza wanavyoiba? Kujieleza hujui, Kiswahili hujui, una mu accent sijui wa Malawi sijui Rwanda wale wanaotafutwa hawana "green card" za Bongo? aaaaaah!
"munahakikisha.... " "mutaibiwa...."
Sasa tutajihadhari vipi wakati hujaeleza wanavyoiba? Kujieleza hujui, Kiswahili hujui, una mu accent sijui wa Malawi sijui Rwanda wale wanaotafutwa hawana "green card" za Bongo? aaaaaah!