Wana JF.Leo asubuhi nimetoka kuweka mafuta BP/Puma ya sinza kijiweni kiasi cha Lita 6. Nimeondoka moja kwa moja kwenda posts ila cha kushangaza gari limenizimikia dar free market. Huu si wizi huo?!!!!
Pale puma mwanamboka mashine zao zinaiba sanaSio sinza hata pale kinondoni PUMA Mwanamboka na penyewe sio ni wezi haswa
Wana JF.
Leo asubuhi nimetoka kuweka mafuta BP/ Puma ya Sinza Kijiweni kiasi cha Lita 6.
Nimeondoka moja kwa moja kwenda posts ila cha kushangaza gari limenizimikia dar free market.
Huu si wizi huo?!
Pale victoria jamaa anajua customer care , nasikia yule bwana mvaa mapama alitokea kenya ndio maana anajua huduma ,na imani pia imemjaa nakumbuka kipindi kile cha mgomo wa wauzaji mafuta alikugoma kugoma kuuza mafuta , yaani unawekewa mafuta huku unaimbiwa mapambio.Panga siku moja nenda kaweke pale gapco Victoria uone....Lazima geji ipande
Yule mmiliki anaitwa matembo amekaa sana nairobi kna wakati nlikuwa napiga mishe huko yeye alikuwepo huko kabla hajaokoka huko alikuwa ni maf. ..balaa siku hzi kamrudia mungu anakwambia, mm nikienda Victoria akiwepo ah lazima anipe lita 5 za wwese. ..jamaa ana stori ndefu sana hata ule mguu wake unaona anachechemea ni balaaa a hahahah, utajiri una stori ndefu watu kupataPale victoria jamaa anajua customer care , nasikia yule bwana mvaa mapama alitokea kenya ndio maana anajua huduma ,na imani pia imemjaa nakumbuka kipindi kile cha mgomo wa wauzaji mafuta alikugoma kugoma kuuza mafuta , yaani unawekewa mafuta huku unaimbiwa mapambio.
Ukienda na kudumu lazima wauzaji wakununiemi sikuizi naenda na kidumu cha lita tano. ananijazia kwanza kwenye kidumu then nayahamishia kwenye gari. bora nichelewe lakini nisiibiwe!
Ukienda na kudumu lazima wauzaji wakununie