ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,471
Ah wapi. Hakuna kitu hapa. Eti mtu ameshika card yako kwenye ATM unamtazama tu!!
Daah mkuu umeua hayo maswali hawezi kujibu huyu Drama queen naye mwongo mwongo design tapeli pambafAmekariri password yako. Amekubadilishia kadi. Wiki mbili hutumii kadi yenye zaidi ya 8m.
Hela haitoki mpaka utoe kadi,sasa ilikuwaje yeye atoe kadi wakati wewe unapokea hela?
Alipokubadilishia kadi lazima akupe kadi ya same bank, kwa hio ana kadi nyingi.
Cjui alikaririje mayb aliweka camera.. Au aliangalia kwa mbali cjui.. Coz wkt nafanya muhamala alikua pembeni kabisa...alisogea wkt anataka kunitolea card..Amekariri password yako. Amekubadilishia kadi. Wiki mbili hutumii kadi yenye zaidi ya 8m.
Hela haitoki mpaka utoe kadi,sasa ilikuwaje yeye atoe kadi wakati wewe unapokea hela?
Alipokubadilishia kadi lazima akupe kadi ya same bank, kwa hio ana kadi nyingi.
Cjui alikaririje mayb aliweka camera.. Au aliangalia kwa mbali cjui.. Coz wkt nafanya muhamala alikua pembeni kabisa...alisogea wkt anataka kunitolea card..Amekariri password yako. Amekubadilishia kadi. Wiki mbili hutumii kadi yenye zaidi ya 8m.
Hela haitoki mpaka utoe kadi,sasa ilikuwaje yeye atoe kadi wakati wewe unapokea hela?
Alipokubadilishia kadi lazima akupe kadi ya same bank, kwa hio ana kadi nyingi.
Asante FaizaDrama queen
Hapo hukubadilishiwa ATM umebadilishiwa ATM card.
Waombe moderator s wabadilishe bichwa lako la habari.
Ngoja nikawaulize mbona sehemu nyingine unakuta kuna atm machine nne chumba kimoja.......... coz ukiwa ndani ya ATM unatakiwa uwe peke yako nilipaswa nimwambie atoke..