Wizi wa Halotel, TCRA mko wapi?

Jamiix

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
885
548
Kuna hili tatizo naomba wahusika na mamlaka za Serikali zilishuhulikie,mimi natumia mtandao tajwa hapo juu,wana huduma wanazotoa bila idhini ya mtumiaji,huduma kama HALOWIN,BBC etc,wanachokifanya wanakuingiza bila idhini yako,wanaambatanisha/kukutumia jumbe zisizo na maelezo ya kutosha,ama kukuhabarisha gharama gani zita ambatana kama ukifanya/kufata maelezo yao/ya jumbe husika..,
Sasa wizi unakuja hivi,unaweka salio kisha wanakukata moja kwa moja,i.e BBC wanakukata Tsh 20/= kwa kila jumbe watakao kutumia,hapa maana yake ni hivi kama umeweka vocha ya 500/=,utabaki na 480/= na hakuna kifurushi chochote utachoweza kujiunga nacho tena,maana yake 500 yako inakwenda yote kwa labda MB ana SMS ama kuongea ambapo haitazidi dakika 1,vivo hivyo kwenye vifurushi vingine vyote ambapo ofa zao zinataka salio/pesa inayoishia na 00,i.e 500,1000,1500,2500 etc,kwa kila kiasi utachoweka kwa hesabu/bajeti yako itakua imefika ukomo kwa hiyo Tsh 20/= tuu wanayokata na hutaweza kujiunga tena kwa salio pungufu na wao wana ila yote kwa DATA.

Nikajaribu wataarifu wahudumu wao wa kusaidia wateja kupitia namba 100,wanajua hautaki na hukubaliani na makato hayo,wanakuelekeza kutoa HALOWIN wanakuacha uendelee kukatwa BBC,kuwarudia maelezo mapya yakatolewa na kuyatimiza lakini bado makato yanaendelea,kuwarudia tena wanatoa maelezo tofauti na jana yake na kuyashangaa,maelezo mapya kufata zinakuja jumbe zina lugha ya Kihispania na bado wanaendelea kukata.

NB.Ninayo mawasiliano ya sauti na wahudumu wakitoa maelezo tofauti,na jumbe husika kama zitajitajika.
 
Mm Nina mwezi nimerudi mtandao wangu pendwa tigo. Halotel kwanza kifurushi cha chuo kilikua mwanzo ni MB 1229 kwa wiki dk 15 mitandao yote na dk 150 halotel to halotel SMS 15000.sasa saivi MB 800 dk 10 mitandao yote sasa hizo MB zikifika siku tatu utasikia huna MB za kutumia na ukijaribu kudownlod kitu cha mb kubwa kidogo km 30 hivi ndo wanakumaliza kbsa.

Sasa nilivorudi tigo wamefanya kinyume cha halotel wao ndo wanaofa km zao za mwanzo

[HASHTAG]#tigo[/HASHTAG] long live aseeee
 
kifurushi cha chuo cha mwezi kilikua mb 10200 saiv mb 6200 na wameweka utumie siku 10 tu. Ikifika unaambiwa zimebaki mb5.
 
Mm Nina mwezi nimerudi mtandao wangu pendwa tigo. Halotel kwanza kifurushi cha chuo kilikua mwanzo ni MB 1229 kwa wiki dk 15 mitandao yote na dk 150 halotel to halotel SMS 15000.sasa saivi MB 800 dk 10 mitandao yote sasa hizo MB zikifika siku tatu utasikia huna MB za kutumia na ukijaribu kudownlod kitu cha mb kubwa kidogo km 30 hivi ndo wanakumaliza kbsa.

Sasa nilivorudi tigo wamefanya kinyume cha halotel wao ndo wanaofa km zao za mwanzo

[HASHTAG]#tigo[/HASHTAG] long live aseeee
Hapo sijakuelewa unapata hizo package kwa shingap?? Kwan mi najiunga lain ya chuo kwa sh 2500 dk 200 halotel kwa haltel dk 20 mitandao yote mb 1350 txt bila kikomo
 
Juzi tu nimeweka vocha yangu ya 1000, imefika muda nataka nijiunge naambiwa salio halitoshi. Nilipowapigia customer care wakasema eti kuna huduma nimejiunga, nikasema sawa hakuna tatizo badi nifahamisheni hiyo huduma ili nijitoe. Jana nimeweka tena imeliwa nikasema sawa, leo hii nimeweka 1000 nataka kujiunga naambiwa salio halitoshi, kuwapigia customer care wananijibu kuna huduma nimejiunga "Halogame" hivi nyinyi halotel mshatufanya sisi wateja wenu ndio mitaji yenu? Wameniboa sana tena sana. HALOTEL NI MAJIZI TENA YALE YALIYOKUBUHU, YANAIBA HATA AIBU HAYANA
 
Back
Top Bottom